UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,384
- 980
Ni laana kubwa kama huamini fatilia watu wanaume wengi waliofanya hivyo walikutwa na nini halafu kesho njoo uniambie umegungua nini
Kuna mengi sana kwenye mahusiano. ila sijui kwa nini wanaume wengi wanakimbia majukumu kama mimba ni yako means mtoto ni wako kwa nini usimpe huduma sitahiki kwa sababu kuna leo na kesho.Me sikubaligi aisee... Hapo wengine sijui kwa nin?
Wa nasubiria mpaka mtoto afanikiwe ndiyo watake awe wake ..Kuna mengi sana kwenye mahusiano. ila sijui kwa nini wanaume wengi wanakimbia majukumu kama mimba ni yako means mtoto ni wako kwa nini usimpe huduma sitahiki kwa sababu kuna leo na kesho.