pirates lil
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 958
- 915
Lazima uniowe ulitaka nani aniowe?????
na ukitoa mimba,utataka nije nikuoe?Lazima uniowe ulitaka nani aniowe?????
Nani anaye toa hiyo dhambi?Ndio lazima umuoe usipomuoa unapata dhambi
mimi ninavyojua sisi mabachela tulio wengi tupo ktk mahusiano ambayo mara nyingi huwa ni ya kufarijiana na kutoana haja za kimwili tu but inavyokuja issue ya kumuoa baada ya kumpa mimba mara nyingi sababu kadhaa ikiwamo ya kutokujipanga inatokeaNdio. Ni lazima
ejaculation is constant when ure in a sexual intercourse to a perfect man,,,lakini me najua inapokuja issue ya kumuoa baada kumpa mimba huwa mara nyingi ni changamoto kwa vijana walio wengi,,,,ila me ntamuoa tu endapo nikimpa mimba mwanamkeWakati unakojoa oooh we mtamu huku ukitoa cha ujazo kwa kusukuma pumzi kwa nguvu .. Unataka nani amuoe sasa?
surekabisa
oooooooohhhhh.....sasa kwanini alinikubali kama mi mwanaume wa ovyoBIG NO YEYE MWENYEWE ANAWEZA KUKUKATAA KAMA NI MWANAUME WA OVYOO!
ilo nalo nenoKwani ukiwa fundi wa kujenga nyumba lazima uishi kwenye nyumba ulioijenga?
teh teh teh teh,,ila sheria itungwe coz sio poa mwanamke ukampa mimba alafu tena hutaki kumuoalabda wakati unampa hiyo mimba Kama ulitoa na risiti. Akija na hiyo mimba yako akuonyeshe risiti ndipo uoe.
according to maandiko ni sahihi sana mkuuuuUkimwingilia tu, ni mkeo huyo!!
sir GODNani anaye toa hiyo dhambi?