Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,850
Habari ya usiku wakuu wangu.
Najiuliza sana ni kwanini ukimpa mwanamke attention kipindi cha mitongozano unampoteza kirahisi sana na humpati wala hakupi majibu ya kueleweka.
Mbaya zadi nafikiria wanawake wanapenda attention na ukimnyima attention kipindi unamtongoza anakuona tena haupo serious.
Shida yao ni nini hasa inayo wafanya wanakua hivi wakuu , karibuni tujadili kuokoa vijana.
Najiuliza sana ni kwanini ukimpa mwanamke attention kipindi cha mitongozano unampoteza kirahisi sana na humpati wala hakupi majibu ya kueleweka.
Mbaya zadi nafikiria wanawake wanapenda attention na ukimnyima attention kipindi unamtongoza anakuona tena haupo serious.
Shida yao ni nini hasa inayo wafanya wanakua hivi wakuu , karibuni tujadili kuokoa vijana.