Zamani zile ilikuwa posa kwanza kisha mahari kisha ndoa halafu mimba tena ndani ya miezi michache ya mwanzo unasikia ndoa imejibu
siku hizi mama yangu weee mnakutana barabarani Kisha mnaongezana kwenye mchezo wa 6x6 / chumbani kwanza , Kisha baada ya mchezo mnaulizana majina yenu, kisha mnapotoka ili kila mtu arudi kwao mnapeana namba za simu Kama gemu ilikuwa powa mnapeana namba za simu za ukweli Kama game ilikuwa ovyo mnapeana namba feki [emoji12][emoji12] mimba ikitokea hapo mnakuja JF kuomba ushauri wa kuoa Kama hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dunia imebakia kama kipisi cha sigara kweli nawaambia
Ushauri wangu usimuoe muache tu azae uone mtoto mimba nyingi siku hizi za kichina "short life span" zinadumu miezi mitatu ya mwazoni Kisha hutoweka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]