Zyamwelele
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 405
- 153
Kwa mtazamo wangu' mwanamke wa kuoa kwanza awe na nidhamu, awe anajitambua, ajiamini na mcha Mungu! Shape, sura na rangi hizi mbwembwe tu' ukitaka kufa kabla ya wakati wako jaribu hii'' oa kwa kuzingatia shape, sura au rangi. kama kama hatutakuzika mapema kwa sababu ya presha' ikikukosa presha basi utapoteza nguvu za kiume kwasababu ya stress!!!! Mwanamke mcha Mungu, nidhamu, kujiamini na kujitambua kwanza'' shape, sura na rangi vinafuata. Hapo vip?