Ukikosea hapa' wewe kwisha!!

Ukikosea hapa' wewe kwisha!!

waungwani eti hilo limekaeje? bado naendelea kutafuta madesa' kwa yoyote mwenye maelezo kidogo' si mbaya tukashare mawazo. karibu!!
 
Kwa mtazamo wangu' mwanamke wa kuoa kwanza awe na nidhamu, awe anajitambua, ajiamini na mcha Mungu! Shape, sura na rangi hizi mbwembwe tu' ukitaka kufa kabla ya wakati wako jaribu hii'' oa kwa kuzingatia shape, sura au rangi. kama kama hatutakuzika mapema kwa sababu ya presha' ikikukosa presha basi utapoteza nguvu za kiume kwasababu ya stress!!!! Mwanamke mcha Mungu, nidhamu, kujiamini na kujitambua kwanza'' shape, sura na rangi vinafuata. Hapo vip?

Ni kweli sehemu ya sifa ulizozitaja zafaa sana wakati wa kutafuta mwenzi wa maisha, LAKINI (BUT) mvuto unahusika Zyamwelele haki ya kweli na mambo kama shape ya aidha umbile au sura na rangi ndo sehemu ya kutengeneza mvuto, na pia lazima mwanamke mzuri wa shape (yule mwenye mvuto) akakosa sifa za mke BORA, kwani wako wanawake wazuri na mvuto alafu wana nidhamu, wanajitambua, wanajiamini, na kumcha Mungu ni balaa na wanaume zao wanaishi kama wako PARADISO vile..afu sasa kuna wanawake wabaya wa shape, sura (yaani mvuto hata umulike na TOCHI huoni kitu) hawajitambui, nidhamu kwao ka ugonjwa wa ukoma, na zaidi ya yote ni WACHAWI au wauza gongo..
 
Kwa mtazamo wangu' mwanamke wa kuoa kwanza awe na nidhamu, awe anajitambua, ajiamini na mcha Mungu! Shape, sura na rangi hizi mbwembwe tu' ukitaka kufa kabla ya wakati wako jaribu hii'' oa kwa kuzingatia shape, sura au rangi. kama kama hatutakuzika mapema kwa sababu ya presha' ikikukosa presha basi utapoteza nguvu za kiume kwasababu ya stress!!!! Mwanamke mcha Mungu, nidhamu, kujiamini na kujitambua kwanza'' shape, sura na rangi vinafuata. Hapo vip?

Ni kweli sehemu ya sifa ulizozitaja zafaa sana wakati wa kutafuta mwenzi wa maisha, LAKINI (BUT) mvuto unahusika Zyamwelele haki ya kweli na mambo kama shape ya aidha umbile au sura na rangi ndo sehemu ya kutengeneza mvuto, na si pia lazima narudia tena si lazima mwanamke mzuri wa shape (yule mwenye mvuto) akakosa sifa za mke BORA, kwani wako wanawake wazuri na mvuto alafu wana nidhamu, wanajitambua, wanajiamini, na kumcha Mungu ni balaa na wanaume zao wanaishi kama wako PARADISO vile..afu sasa kuna wanawake wabaya wa shape, sura (yaani mvuto hata umulike na TOCHI huoni kitu) hawajitambui, nidhamu kwao ka ugonjwa wa ukoma, na zaidi ya yote ni WACHAWI au wauza gongo..hapo waonaje?
 
etiii.. km huna hela utaishia kuwaita mademu wazuri shemeji..daah
hii kwangu kali
 
Ni kweli sehemu ya sifa ulizozitaja zafaa sana wakati wa kutafuta mwenzi wa maisha, LAKINI (BUT) mvuto unahusika Zyamwelele haki ya kweli na mambo kama shape ya aidha umbile au sura na rangi ndo sehemu ya kutengeneza mvuto, na si pia lazima narudia tena si lazima mwanamke mzuri wa shape (yule mwenye mvuto) akakosa sifa za mke BORA, kwani wako wanawake wazuri na mvuto alafu wana nidhamu, wanajitambua, wanajiamini, na kumcha Mungu ni balaa na wanaume zao wanaishi kama wako PARADISO vile..afu sasa kuna wanawake wabaya wa shape, sura (yaani mvuto hata umulike na TOCHI huoni kitu) hawajitambui, nidhamu kwao ka ugonjwa wa ukoma, na zaidi ya yote ni WACHAWI au wauza gongo..hapo waonaje?
mkuu hii kamba yako imeniacha hoi' asante mkuu!! kazi kwawale ambao bado wanatafuta' Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema awarehemu wafanikiwe kupata wake wema!! ili ndoa zenu ziwe paradiso ndogo kama makusudi ya Mungu.!!
 
mie huwa napenda sana challenge mnazozitoa zinatufanya tujiulize marambili mbili kabla ya maamuzi God bless us @ all
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom