Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
teh hata mimi nipo nipo feza sura magari nyumba ndo mpango mzima! tabia peleka kijijiniwengine bado tupo tupo...rangi,sura ,shepu ndo mpango mzima
teh hata mimi nipo nipo feza sura magari nyumba ndo mpango mzima! tabia peleka kijijiniwengine bado tupo tupo...rangi,sura ,shepu ndo mpango mzima
amen mama mtumishi na kwa bwana hakuna watu wabaya!mke mwema hutoka kwa Bwana.....
Kwa mtazamo wangu' mwanamke wa kuoa kwanza awe na nidhamu, awe anajitambua, ajiamini na mcha Mungu! Shape, sura na rangi hizi mbwembwe tu' ukitaka kufa kabla ya wakati wako jaribu hii'' oa kwa kuzingatia shape, sura au rangi. kama kama hatutakuzika mapema kwa sababu ya presha' ikikukosa presha basi utapoteza nguvu za kiume kwasababu ya stress!!!! Mwanamke mcha Mungu, nidhamu, kujiamini na kujitambua kwanza'' shape, sura na rangi vinafuata. Hapo vip?
Kwa mtazamo wangu' mwanamke wa kuoa kwanza awe na nidhamu, awe anajitambua, ajiamini na mcha Mungu! Shape, sura na rangi hizi mbwembwe tu' ukitaka kufa kabla ya wakati wako jaribu hii'' oa kwa kuzingatia shape, sura au rangi. kama kama hatutakuzika mapema kwa sababu ya presha' ikikukosa presha basi utapoteza nguvu za kiume kwasababu ya stress!!!! Mwanamke mcha Mungu, nidhamu, kujiamini na kujitambua kwanza'' shape, sura na rangi vinafuata. Hapo vip?
teh hata mimi nipo nipo feza sura magari nyumba ndo mpango mzima! tabia peleka kijijini
mkuu hii kamba yako imeniacha hoi' asante mkuu!! kazi kwawale ambao bado wanatafuta' Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema awarehemu wafanikiwe kupata wake wema!! ili ndoa zenu ziwe paradiso ndogo kama makusudi ya Mungu.!!Ni kweli sehemu ya sifa ulizozitaja zafaa sana wakati wa kutafuta mwenzi wa maisha, LAKINI (BUT) mvuto unahusika Zyamwelele haki ya kweli na mambo kama shape ya aidha umbile au sura na rangi ndo sehemu ya kutengeneza mvuto, na si pia lazima narudia tena si lazima mwanamke mzuri wa shape (yule mwenye mvuto) akakosa sifa za mke BORA, kwani wako wanawake wazuri na mvuto alafu wana nidhamu, wanajitambua, wanajiamini, na kumcha Mungu ni balaa na wanaume zao wanaishi kama wako PARADISO vile..afu sasa kuna wanawake wabaya wa shape, sura (yaani mvuto hata umulike na TOCHI huoni kitu) hawajitambui, nidhamu kwao ka ugonjwa wa ukoma, na zaidi ya yote ni WACHAWI au wauza gongo..hapo waonaje?