Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
Ukijijua una kasura kako private jitahidi kuoa mwanamke mzuri akusafishie ka ukoo kidogo
Aisee, huyo dada yako atakua mtaalamu sana, kwamba utumbo wako ndo sura za wanao.Mi dada yangu aliwahi kuniambia kuzaa watoto wazur au wabaya ni utumbo wako eti, lkn nahs ni kweli kuna baba na mkewe jamani wabaya hao ila watoto wao sasa huchoki kuwaangalia yn
Kuna mtu anasaidiwa kimyakimyaMi dada yangu aliwahi kuniambia kuzaa watoto wazur au wabaya ni utumbo wako eti, lkn nahs ni kweli kuna baba na mkewe jamani wabaya hao ila watoto wao sasa huchoki kuwaangalia yn
Sura private inamaanisha nini?Ukijijua Una kasura Kako private jitahid kuoa mwanamke mzuri akusafishie ka ukoo kidogo
Ukijijua Una kasura Kako private jitahid kuoa mwanamke mzuri akusafishie ka ukoo kidogo
Utumbo wa kupitishia chakula au utumbo upi huo..Mi dada yangu aliwahi kuniambia kuzaa watoto wazur au wabaya ni utumbo wako eti, lkn nahs ni kweli kuna baba na mkewe jamani wabaya hao ila watoto wao sasa huchoki kuwaangalia yn
Tusidanganyane, Mtoto Lazima Afanane Na Mzazi Mmoja Wapo, Vinginevyo Mwanaume UnaibiwaMambo ya genes yanaplay role kubwa... Unaweza zaa mtoto akafanana na bibi au babu zako wa kale
Mnaweza mkazaa mtoto akawa ana sura hata hamjui kafanana na nani
Btw hakuna mbaya duniani..
Mi dada yangu aliwahi kuniambia kuzaa watoto wazur au wabaya ni utumbo wako eti, lkn nahs ni kweli kuna baba na mkewe jamani wabaya hao ila watoto wao sasa huchoki kuwaangalia yn
Inawezekana mume wake ni handsomeSidhani ...Nina shangazi yangu mbaya (Mungu samehe Mimi) ila ana watoto visu hatari..wakiume ni mahandsome wakike bonge la toto