Lung'wecha
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 927
- 574
Nauliza ndugu zangu
Unapoitwa kazini Serikalini inakuwaje kuhusu pesa ya kuanzia maisha hapo kazini? Je, nauli hurudishiwa? ( Kama umetoka nje ya mkoa) au huwa kuna salary advance?
Mwenye kujua msaada tafadhali!
Unapoitwa kazini Serikalini inakuwaje kuhusu pesa ya kuanzia maisha hapo kazini? Je, nauli hurudishiwa? ( Kama umetoka nje ya mkoa) au huwa kuna salary advance?
Mwenye kujua msaada tafadhali!