Lung'wecha
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 927
- 575
- Thread starter
- #21
mkuu hebu nijuze hyo poss 4 ni ngapi kwa taslim?Kwa hio poss we utakua upo ktk taasisi za serikali,ila navyofahamu poss walikua wakitumia zamani ,sahv wanatumia pgss,hio poss ni ngazi ya mshahara ya chini sana kwa form 6,sahv sisi hatutumii hio tunaanza kulipa kwa pgss hata kama ni form 4 ataanza na pgss 5