Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,622
- 10,247
Anataka umshike mkono watanzania ni wa vivu sanaKuna Watu ni 'Majuha' kweli kweli. Mimi nipo Dar es Salaam na Wewe uko huko huko unashindwa nini kwenda hapo UCT wakupe utaratibu wote?
Anataka umshike mkono watanzania ni wa vivu sanaKuna Watu ni 'Majuha' kweli kweli. Mimi nipo Dar es Salaam na Wewe uko huko huko unashindwa nini kwenda hapo UCT wakupe utaratibu wote?
Wajerumani ndio wangeweza kuijenga hii nchi kama wangetawala mpaka tunapata uhuru na siyo waingereza ambao walikuwa wanazuga tu. Japo wajerumani walikuwa na ukatili lakini walikuwa wanapiga kazi sana na ndio maana jamii nyingi za pwani zilishindwa kuendana nao maana wajerumani hawapendi uzembe/uvivu hata huko kwao.Si kweli, hapa ilikuwa ni British territory tu, center yao ilikuwa Nairobi.
Beberu lingeendelea kukaa hapa wangenufaika Wakenya.
Ya jandoni yanaishia jandoni,,,, Hawa wenzetu wamekuja huku wamefunga mkanda ndio mana wakirudi bongo wanatucharazia,,,, kibaharia Ana kesi ya kujibukwahiyo OP amekua Snitch![]()
Na 'Ukichunguza' zaidi hata uliza yake tu imekaa 'Kikejeli' zaidi ya 'Uhalisia' ndiyo maana nami nimempa 'Madongo' yake ya awali 'Kimtindo' hapo.Anataka umshike mkono watanzania ni wa vivu sana
Inabidi mabaharia wamchukue maelezo homeboyKibaharia una kesi ya kujibu.... Mtoto wa kiume unakuwa mmbeya ka pung%%@. Nyie ndo mnapasukaga nchi mbovu

Home boy kaenda wrong,,, how come acharazie mabaharia, Kibichi bichi kashapigwa kijiweInabidi mabaharia wamchukue maelezo homeboy
Zamani wapi kwanza sio analeta pigo za kishamba
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Inabidi akutane na baharia wa daban wamsomee kesiHome boy kaenda wrong,,, how come acharazie mabaharia, Kibichi bichi kashapigwa kijiwe
Sema kweli mkuu Nyama tamu za leoleo? kama hizi za kwetu Musoma? na kichure? au ndo zile za kusagwa na mashine then zinapakwa dawa zinawekwa kwa friji miezi saba? Tarime sitasahau
wana iga iga tu, wanalambalamba tu, mpaka zitafunwe na machine weee, ni leo? Mkurya anakupigia kibeberu kizima na miguu yake mbuzi choma jino kwa jino unalinganisha kilo3? na pia hii ina faida nyingi. km unaimarisha meno na taya. na ni mswaki unapiga hutanuka mdomo!, pia una activate enzymes, ni "kichure" siyo kichuri. Kinatokana na mnyama aliye chinjwa kiungo hiki kinaongeza chachu ya ulaji, utamu asilia na kuepusha Blood cholestralaemia -lehemu.Gout, oesteomylitis, HBP,baridi yabisi nk, ndiyo maana jamii zao hazina magonjwa hayo. Wamasai, wakurya, wachaga, wajita, watusi, wamaharic nk wamekula nyama karne nyingi mpaka leo lkn hawana hayo matatizo.ajili ya kiungo cha kichure. Lkn wanao fakamia kichwakichwa km hao ni wateja wa ma-Cardiologists. Nenda umasaini hakuna tabibu wa hivi. na masai wanakula mpaka nundu na supu yake yoteee! Wazee wetu wana akili sana waliwaza mbona mbuzi mwenye mafuta hana gout? Jibu likaja kichure!!South ni nchi ya 11 kwa meat consumption Duniani, Nyie Kichuri unawekewa kwenye kibakuli hiyo ni nyama? Mtu anapeleka karibia kilo nzila na hiyo ni kila siku
Mkuu hali ikoje kwa watu waliosomea udaktari wa wanyama kwa nchi ha Botswana?Botswana wanachukuwa sana watu wa medical wa wanawalipa vizuri sana kuliko Bongo.
Tuwasiliane inbox naweza kukupa connection kama utakuwa na vigezo.
Mkuu umentajia LANGA umenikumbusha mbali sana... Mm nliishi ATHLONE na baadae SURREY ESTATE... usiisahau KHAILISHANisalimie Wanachuo hasa wa Kitanzania hapo UCT ( University of Capetown ) na wale Wabongo wa Langa na 'Malaya' wazuri wa 'Winnipeg' Mkuu.
Heshima kwako Mkuu. Hao PAGAD waliwahi kumchoma mwana - SUPPLIER kwa kutumia GAS kisa anawaharibia watoto wao... Mimi nlikuwa naishi SURREY ESTATEHao wanaharibiwa na Black American movie tu.
Kundi hatari Cape town ni PAGAD na huenda hulijui wala hujawahi kulisikia
way back 2004-06 Capetown kulikuwa na Majina ya Wabongo - dealers - akiwemo Machuppa,Hii takwimu ya 80% umeipata wapi kwa methodology gani?
Si ajabu ukasema 80% ya wakazi wa Tandika ni vibaka na wavuta bangi kwa sample ya machoni pako tu.
Utakuta kuna watanzania walishazamia SA zaidi ya miaka 30, hawana mbele wala nyuma na ndugu zao hawana taarifa zao.
Wenyeji wa Capetown ambao ni Coloureds wanaongea Kiswahili kama Wabongo, hii ni sababu walishajichanganya na Wabongo ambao wengi wanauzia unga na madawa mengine ya kulevya.
Kuna kitongoji kinaitwa Woodstock, kuna Watanzania kibao unaweza ukadhania upo keko.
Wanawake wa ki-coloureds wengi wanawapenda sana Wabongo. Haya ni baadhi ya maajabu ya Capetown, mji ambao naupenda na kila nikipata vijisenti huwa naenda kula bata Campsbay.
Kiongozi kwema lakini? Kitambo sana.Wakati nikiwa huko mwaka 2004 hapo UCT 'Kiwango' cha 'Maambukizi' ya UKIMWI kilikuwa juu mno japo natonywa kwa sasa ndiyo Kimeongezeka.
Si kweli, information is power.
Wabongo wakipata taarifa za maandamano huwa hawatoki wanabaki nyumbani, binafsi nimeshakutana na maandamano ya hawa watu hatukuwa na taarifa wanaandamana siku hiyo, ni rahisi sana kuepukana na maandamano yao, na hata siku moja hawavamii makazi ya watu, ni ukijichanganya tu town siku wana maandamano yao imekula kwako.
Unapoishi nchi za watu hata Bongo, saa mbili usiku jitahidi kuangalia na kusikiliza taarifa za habari, na ukiamka asubuhi jenga utamaduni wa kusikiliza redio na taarifa za tv kabla hujatoka nyumbani.
Hii ni kwa dunia nzima siyo South Africa tu.
Kule Sweden kuna siku tulikuwa tunaamka ukifunguwa tv mbaambiwa leo msitoke nje na hakuna kwenda makazinMkuuume sana
Mkuu izo connection vp sasa, na network si ndio hii tunaianzisha hapa !Nevada?
Swali fikirishi. Ngoja tupaje majibuSorry Chief, ni ipi kazi ya hizo socks? I believe sio za kuvaliwa kwa miguu manake zimeisha!
Ziko nje nje sana mkuu?Ninashukuru tu nilikaa huo huo mwaka Mmoja tu wa 2004 hapo Chuoni UCT nikarejea 'Bongo' ila kwa 'Mbunye' za huko sasa 'Ngoma' ingeshaniua.
Mkuu happy Kuna kabila umeitaja haupo sahihi.wana iga iga tu, wanalambalamba tu, mpaka zitafunwe na machine weee, ni leo? Mkurya anakupigia kibeberu kizima na miguu yake mbuzi choma jino kwa jino unalinganisha kilo3? na pia hii ina faida nyingi. km unaimarisha meno na taya. na ni mswaki unapiga hutanuka mdomo!, pia una activate enzymes, ni "kichure" siyo kichuri. Kinatokana na mnyama aliye chinjwa kiungo hiki kinaongeza chachu ya ulaji, utamu asilia na kuepusha Blood cholestralaemia -lehemu.Gout, oesteomylitis, HBP,baridi yabisi nk, ndiyo maana jamii zao hazina magonjwa hayo. Wamasai, wakurya, wachaga, wajita, watusi, wamaharic nk wamekula nyama karne nyingi mpaka leo lkn hawana hayo matatizo.ajili ya kiungo cha kichure. Lkn wanao fakamia kichwakichwa km hao ni wateja wa ma-Cardiologists. Nenda umasaini hakuna tabibu wa hivi. na masai wanakula mpaka nundu na supu yake yoteee! Wazee wetu wana akili sana waliwaza mbona mbuzi mwenye mafuta hana gout? Jibu likaja kichure!!
Yes!, ukiona hivo jamii hiyo ina Westernized family members wengi, waliosoma nusunusu, tena humohumo TZ!! wanadharau sana traditional way of Living! hata majina hawayataki ya kiswahili ni laana. siyo hawapo wamo baadhi! hata umasaini wako ambao hawataki maisha yale.Mkuu happy Kuna kabila umeitaja haupo sahihi.
Hao nyama inawaletea shida sana kwa kuwasababishia magonjwa yatokanayo na ulaji wao.