Keagan Paul
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 517
- 3,191
Kwa Bus mpaka Johannesburg ukiwa na Laki 3 unafika na Chenji inarudi.
Kwa Bus mpaka Johannesburg ukiwa na Laki 3 unafika na Chenji inarudi.
Kwan huko hakuna police??Sio kufika tu nimeishi cape town na kysna , sema kingine .!!
Of all South African provinces gauteng ndio province notorious kwa karibu Kika ushenzi yet tatizo la madawa ya kulevya halijafikia hata 30%
Lifestyle ya Capetown na Gauteng ni tofauti sana. Kumbuka hata Coloureds wengi wapo Western Cape na 80% wanatumia madawa ya kulevya. Wanaanza wakiwa wadogo sana.Sio kufika tu nimeishi cape town na kysna , sema kingine .!!
Of all South African provinces gauteng ndio province notorious kwa karibu Kika ushenzi yet tatizo la madawa ya kulevya halijafikia hata 30%
Hii takwimu ya 80% umeipata wapi kwa methodology gani?Lifestyle ya Capetown na Gauteng ni tofauti sana. Kumbuka hata Coloureds wengi wapo Western Cape na 80% wanatumia madawa ya kulevya. Wanaanza wakiwa wadogo sana.
Probability huwa inapatikana vipi mkuu?Hii takwimu ya 80% umeipata wapi kwa methodology gani?
Si ajabu ukasema 80% ya wakazi wa Tandika ni vibaka na wavuta bangi kwa sample ya machoni pako tu.
Kukurahisishia makaradi ni kizazi kilichotokana na makaburu, na wakaanza kuzaliana wenyewe kikatokea kizazi chao na lugha yao ni Afrikaans lugha ya makaburu.Coloureds ndio akina nani?
Nimekuuliza swali rahisi tu, nategemea unijibu kwanza ndio uniulize swali kama unalo.Probability huwa inapatikana vipi mkuu?
Yes! Hans Pope, P Funk, Rita Poulsen, Yusuf Poulsen.Kukurahisishia makaradi ni kizazi kilichotokana na makaburu, na wakaanza kuzaliana wenyewe kikatokea kizazi chao na lugha yao ni Afrikaans lugha ya makaburu.
Kwa kifupi makaradi ni watoto wa nyumba ndogo wa makaburu, siyo wazungu na wala siyo weusi.
Ukitaka kuwajuwa makaradi ni kama Kally Ongala, kuna yule Kaburu wa Simba au Callinyo wa Yanga Maddam Ritta, P Funk Majani and likes.
Ukishirikiana na beberu huwezi kuwa masikiniNaam,ndio matunda ya beberu hayo.
Beberu lili ijenga Capetown kikweli kweli.
Nimesali ili haya uliyoyaandiwe iwe ni utani tu! Ameen!Ukishirikiana na beberu huwezi kuwa masikini
Ina maana hujui Simba kuna mtu anaitwa Nyange Kaburu?Yes! Hans Pope, P Funk, Rita Poulsen, Yusuf Poulsen.
Though kumuita Hans Pope kaburu sio sahihi.
Usisahau juzi beberu limetoa Tsh. bil 44 kwa Tasaf ili mkazilishe kaya maskini.Nimesali ili haya uliyoyaandiwe iwe ni utani tu! Ameen!
Sikatai kuna lifestyle tofauti Kati ya Moji hiyo miwili , Ila gauteng ndio ushenzini, coloured wapo western cape kiasili sio wahamiaji, ni motherland yao kule .Lifestyle ya Capetown na Gauteng ni tofauti sana. Kumbuka hata Coloureds wengi wapo Western Cape na 80% wanatumia madawa ya kulevya. Wanaanza wakiwa wadogo sana.
I am smoking ganja,you got it?hiyo umeona wewe..afterall you are entitled to your own opinion,ila sio fact...maana mimi ndio muhusika,I'm far from kulia..
Nilie sababu kuna kima mmoja kasema Tanzania na South Africans tumezaliwa na baba moja?Really?Nilie kwa sababu hiyo?
What are you smoking aisee?
bandarini wanalipaje vibarua wao per shiftNenda kaone kwa macho yako,coloureds 80% wanatumia madawa. Wabongo wanaofanya kazi za kuuza bidhaaa au bandarini ni wachache sana.
Kuna kazi kufanya repair za meli wabongo wanafanya lakini malipo mazuri kuliko Tanzania.bandarini wanalipaje vibarua wao per shift
Kwa hiyo usijifanye unajua wakati hujui kitu.Sikatai kuna lifestyle tofauti Kati ya Moji hiyo miwili , Ila gauteng ndio ushenzini, coloured wapo western cape kiasili sio wahamiaji, ni motherland yao kule .
Umeulizwa wanalipwa kiasi gani?Kuna kazi kufanya repair za meli wabongo wanafanya lakini malipo mazuri kuliko Tanzania.
Ngoja mimi nikufupishie, Dunia nzima kazi ni connection yako na network yako tu.bandarini wanalipaje vibarua wao per shift