Ukifika Capetown utashangaa sana

Ukifika Capetown utashangaa sana

Utakuta kuna watanzania walishazamia SA zaidi ya miaka 30, hawana mbele wala nyuma na ndugu zao hawana taarifa zao.

Wenyeji wa Capetown ambao ni Coloureds wanaongea Kiswahili kama Wabongo, hii ni sababu walishajichanganya na Wabongo ambao wengi wanauzia unga na madawa mengine ya kulevya.

Kuna kitongoji kinaitwa Woodstock, kuna Watanzania kibao unaweza ukadhania upo keko.

Wanawake wa ki-coloureds wengi wanawapenda sana Wabongo. Haya ni baadhi ya maajabu ya Capetown, mji ambao naupenda na kila nikipata vijisenti huwa naenda kula bata Campsbay.
Kumbe!
Ndo maana hawawapendi wageni wenye nchi yao wanasema ndio wanaoharibu nchi kwa biashara ya unga!

JESUS IS LORD
 
Nenda kaone kwa macho yako,coloureds 80% wanatumia madawa. Wabongo wanaofanya kazi za kuuza bidhaaa au bandarini ni wachache sana.
Uko sahihi, Nimekaa Cape Town Mitshellsplain kitongoji kimoja kinaitwa Lost City, ni nouma, USA na uhuni wao wote cha Mtoto...

Familia ambazo hazijaathirika na Matumizi ya Dawa za kulevya ni Ama zilizosoma ama zenye Dini.....

I agree kuwa 80% ya Warangirangi ni Wavutaji Madawa.
 
Uko sahihi, Nimekaa Cape Town Mitshellsplain kitongoji kimoja kinaitwa Lost City, ni nouma, USA na uhuni wao wote cha Mtoto...

Familia ambazo hazijaathirika na Matumizi ya Dawa za kulevya ni Ama zilizosoma ama zenye Dini.....

I agree kuwa 80% ya Warangirangi ni Wavutaji Madawa.
Nilinunua 'Malaya' Mmoja wa ;Kirangirangi' karibu na hiyo 'Theatre' kubwa hapo UCT kila nikimaliza 'Kumkojolea' tu ananiomba 'abwie' Unga wake.
 
Ngoja mimi nikufupishie, Dunia nzima kazi ni connection yako na network yako tu.

Wabongo wanafanyakazi kwenye sekta zote kasoro serikalini tu, hii inadepand who are you na who is ur friends.

Wanasemaga show me ur friends then i will tell u who you are....

Kama company yako ni wa dizaini fulani ukienda nchi walipo kampani yako utafanyakazi wanazofanya wao, formula iko hivyo.

Kitu cha ziada kwenye maisha kuna bahati, hii God given unaweza kukutana na network ambayo hukuitegemea na hata uliowakuta wakakushangaa, maisha yanachange na mambo yananyooka.

Nikupe tofauti kubwa ya Nigerians na Watanzania, tofauti kubwa ni hii

Mtanzania aliyekimbia shule anaweza kujipa matumaini akifika South Africa mambo tambarare bila ya kuwa na network au connection yoyote mwisho wa usiku usishangae kukumkita kaajiliwa na Mnigeria kwenye salon au kuuza matunda.

Tofauti na Wanigeria wengi niliowaona mimi nchi ile siyo Teenegers, ni watu wazima tena hadi wazee wenye exposure kubwa, unakuta mtu amesafa Uk kama 20 years amepiga hesabu zake ameona kwa mkaburu hesabu zake zitalipa unawakuta dizaini hiyo wapo wengi, wana network worldwide.

Ni ngumu kwa Mbongo eti atoke Marekani aende kuhamishia maskani yake South Africa kwakuwa anayo capital na ameiona fursa.

Kwa kifupi tofauti yetu na wao ni hiyo, wao hakuna school boys kule ni watu wazima wanaojitambuwa na wanajuwa wanatafuta nini.

Mnigeria hawezi kuuza matunda, lakini anaweza kumuajiri mtu amuuzie matunda yeye anaendelea na mishe nyingine zenye akili.

Yale mambo ile ela tuma kwenye namba hii wenzetu walifanya miaka ya 90 wakati internet ndio inaingia Africa.
Brother umetoa uzoefu wa maana sana aisee.Patience,Experience,Exposure,network and connection I.e social quetient,etc hizo qualities ndio zinaleta matokeo tofauti binafsi nimekuelewa
 
Ni muda wa kufatilia chimbuko la nchi za SADC yaweza kuwa sisi ni baba na mama mmoja maana tunaelewana na tabia tunafanana
Umesahau Mwanamutapa na kina Zwangedaba.Vita ya Mfecane hukusoma.wote sisi ni ndugu
 
Vp kuhusu mji wa port Elizabeth ukoje kiusalama na utafutaji wa kazi

Miji gani kuna usalama zaidi kwa wageni ndani ya south Africa

Na vip kuhusu mini yenye job opportunities nyingi zaidi kwa huko

Ahsante kwa majibu yenu
 
Vp kuhusu mji wa port Elizabeth ukoje kiusalama na utafutaji wa kazi

Miji gani kuna usalama zaidi kwa wageni ndani ya south Africa

Na vip kuhusu mini yenye job opportunities nyingi zaidi kwa huko

Ahsante kwa majibu yenu
Port Elizabeth ni salama ,
 
Back
Top Bottom