Ukiendelea kuhonga utabaki kwenye duara la umaskini wewe na familia yako yote

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Aug 28, 2020
2,204
2,083
Habari za Leo wakuu.
Kuna ujinga fulani ulisha waingia wanaume, wakifanikiwa tu huwa hawakumbuki watu waliowasomesha au kuwapa mitaji.

Wengine walisomeshwa ili wazikomboe familia zao lakini wakisha kamatwa masikio na wanawake basi humalizia mishahara yao yote, mitaji yao yote na faida zao zote kuwanunulia kalolaiti wanawake, wengine humalizia pesa za saloon za kike kuwasuka wanawake wao, wengine humalizia pesa walioipata kwa shida kuwavisha watu ambao hawakununua hata daftari wala pencili ya kufanyia mtihani.

Wengine pamoja na ubinafsi wao huo wa kushindwa kuzikomboa familia zao huishia kuoa mapema ili wakamatwe kuwahudumia hao wanawake wao na mwisho wa siku huzaa vitoto ambavyo navyo baadaye vinaandaliwa kuwa maskini. Mwisho wa siku unakua ni mlolongo. Babu masikini, bibi maskini, baba na mama maskini, watoto masikini, ukoo mzima maskini. Linabaki kuwa ni duara la umaskini ambalo haliwezi kutoka.

Endelea kumaliza pesa yako saloon na kwenye hizo kalolaiti kwa vitu ambavyo havina msingi
 
Habari za Leo wakuu.
Kuna ujinga fulani ulisha waingia wanaume, wakifanikiwa tu huwa hawakumbuki watu waliowasomesha au kuwapa mitaji.

Wengine walisomeshwa ili wazikomboe familia zao lakini wakisha kamatwa masikio na wanawake basi humalizia mishahara yao yote, mitaji yao yote na faida zao zote kuwanunulia kalolaiti wanawake, wengine humalizia pesa za saloon za kike kuwasuka wanawake wao, wengine humalizia pesa walioipata kwa shida kuwavisha watu ambao hawakununua hata daftari wala pencili ya kufanyia mtihani.

Wengine pamoja na ubinafsi wao huo wa kushindwa kuzikomboa familia zao huishia kuoa mapema ili wakamatwe kuwahudumia hao wanawake wao na mwisho wa siku huzaa vitoto ambavyo navyo baadaye vinaandaliwa kuwa maskini. Mwisho wa siku unakua ni mlolongo. Babu masikini, bibi maskini, baba na mama maskini, watoto masikini, ukoo mzima maskini. Linabaki kuwa ni duara la umaskini ambalo haliwezi kutoka.

Endelea kumaliza pesa yako saloon na kwenye hizo kalolaiti kwa vitu ambavyo havina msingi
Daaah we jamaa hii THREAD yako imenyooka aiseee....
 
Habari za Leo wakuu.
Kuna ujinga fulani ulisha waingia wanaume, wakifanikiwa tu huwa hawakumbuki watu waliowasomesha au kuwapa mitaji.

Wengine walisomeshwa ili wazikomboe familia zao lakini wakisha kamatwa masikio na wanawake basi humalizia mishahara yao yote, mitaji yao yote na faida zao zote kuwanunulia kalolaiti wanawake, wengine humalizia pesa za saloon za kike kuwasuka wanawake wao, wengine humalizia pesa walioipata kwa shida kuwavisha watu ambao hawakununua hata daftari wala pencili ya kufanyia mtihani.

Wengine pamoja na ubinafsi wao huo wa kushindwa kuzikomboa familia zao huishia kuoa mapema ili wakamatwe kuwahudumia hao wanawake wao na mwisho wa siku huzaa vitoto ambavyo navyo baadaye vinaandaliwa kuwa maskini. Mwisho wa siku unakua ni mlolongo. Babu masikini, bibi maskini, baba na mama maskini, watoto masikini, ukoo mzima maskini. Linabaki kuwa ni duara la umaskini ambalo haliwezi kutoka.

Endelea kumaliza pesa yako saloon na kwenye hizo kalolaiti kwa vitu ambavyo havina msingi
Hakuna aliewekeza kwenye starehe akafanikiwa.
 
Nimekuelewa sana mkuu, sisi waafrika hatuwazi namna ya kuweza kujikwamua na kuyabadilisha maisha yetu. Hatuwazi maisha ya kesho kuyafanya yawe bora bali kinachopatikana leo kinatumika leo leo, kesho majaaliwa ya mwenyezi. Tumetawaliwa na starehe za mda mfupi kama ulevi, uzinzi na matumizi yasiyoendana na kipato
 
Habari za Leo wakuu.
Kuna ujinga fulani ulisha waingia wanaume, wakifanikiwa tu huwa hawakumbuki watu waliowasomesha au kuwapa mitaji.

Wengine walisomeshwa ili wazikomboe familia zao lakini wakisha kamatwa masikio na wanawake basi humalizia mishahara yao yote, mitaji yao yote na faida zao zote kuwanunulia kalolaiti wanawake, wengine humalizia pesa za saloon za kike kuwasuka wanawake wao, wengine humalizia pesa walioipata kwa shida kuwavisha watu ambao hawakununua hata daftari wala pencili ya kufanyia mtihani.

Wengine pamoja na ubinafsi wao huo wa kushindwa kuzikomboa familia zao huishia kuoa mapema ili wakamatwe kuwahudumia hao wanawake wao na mwisho wa siku huzaa vitoto ambavyo navyo baadaye vinaandaliwa kuwa maskini. Mwisho wa siku unakua ni mlolongo. Babu masikini, bibi maskini, baba na mama maskini, watoto masikini, ukoo mzima maskini. Linabaki kuwa ni duara la umaskini ambalo haliwezi kutoka.

Endelea kumaliza pesa yako saloon na kwenye hizo kalolaiti kwa vitu ambavyo havina msingi
Uwoga wako mkuu hakuna kanuni ya mafanikio. Wewe usiyehonga umewazidi nini hao wahongaji mkuu.
Mbona watu wamehonga magorofa lakini bado na v8 wametoa ila wanadunda wanazidi kupata zaidi
 
Nimekuelewa sana mkuu, sisi waafrika hatuwazi namna ya kuweza kujikwamua na kuyabadilisha maisha yetu. Hatuwazi maisha ya kesho kuyafanya yawe bora bali kinachopatikana leo kinatumika leo leo, kesho majaaliwa ya mwenyezi. Tumetawaliwa na starehe za mda mfupi kama ulevi, uzinzi na matumizi yasiyoendana na kipato
Hivi nani anadanganya watu kuwa uzinzi ni chanzo cha umaskini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom