Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Nakubaliana na wewe kwa 100%. Ukristo umegubikwa na "uongo" mwingi sana.Naona hatuelewana unajarbu kwa nguvu zote kuhalalisha miujiza na uponyajiii..ukwel utabak kuwa zama hiz hakuna nabii,mtume wala nn awo wote ni majizi tu hata watumie biblia gani
UKRISTO wa kweli umeachwa umebakia uongo na udanganyifu.
Watu wanaojiita Manabii wanahubiri ukristo wa uongo ili wajipatie pesa na mali.