MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,734
Kwani hakuna wanao pona Hospitali na baadae wanaugua tena? Kwa hio kwa akili yako kila ukiumwa basi unetenda dhambi?Na wengi wamekuwa wakipuuzia hili,halafu magonjwa yanapowarudia wanaanza kusema mchungaji flani ni fake kwakuwa bado hajapona,wakati ameshasahau alishapona na akatoa na shukrani.Kizuri ni kuwa TB Joshua ukienda kwake kabla ya maombezi huwa anawatahadharisha mapema hili kabla ya maombezi...