Van pierre
Member
- Mar 27, 2011
- 25
- 0
Hongera rais kikwete kwa ukimya wako pamoja na maneno kibao ya matusi na uzushi unayotupiwa na wanasiasa uchwara na mashabiki zao!!AMA KWELI WEWE UMEKOMAA KISIASA NA UNATAMBUA VYEMA UKIBISHANA NA CHIZI NAWE UTAONEKANA CHIZI....
This is Rectal prolapse!Hongera rais kikwete kwa ukimya wako pamoja na maneno kibao ya matusi na uzushi unayotupiwa na wanasiasa uchwara na mashabiki zao!!AMA KWELI WEWE UMEKOMAA KISIASA NA UNATAMBUA VYEMA UKIBISHANA NA CHIZI NAWE UTAONEKANA CHIZI....
Watoto wako wanapolalamika njaa unakuwa kimya halafu unasema watoto machizi
kweli wewe ndio kiongozi wa machizi wenyewe
Hongera rais kikwete kwa ukimya wako pamoja na maneno kibao ya matusi na uzushi unayotupiwa na wanasiasa uchwara na mashabiki zao!!AMA KWELI WEWE UMEKOMAA KISIASA NA UNATAMBUA VYEMA UKIBISHANA NA CHIZI NAWE UTAONEKANA CHIZI....
Vipi kama chizi anageuka kuwa bubu,anakuwa amekomaa pia au?
Slaa analalamika njaa?si anabwabwaja tu uzushi ili ajipatie umaarufu!!ni uchizi
nami nasubiri jibu
Hongera rais kikwete kwa ukimya wako pamoja na maneno kibao ya matusi na uzushi unayotupiwa na wanasiasa uchwara na mashabiki zao!!AMA KWELI WEWE UMEKOMAA KISIASA NA UNATAMBUA VYEMA UKIBISHANA NA CHIZI NAWE UTAONEKANA CHIZI....
Hongera rais kikwete kwa ukimya wako pamoja na maneno kibao ya matusi na uzushi unayotupiwa na wanasiasa uchwara na mashabiki zao!!AMA KWELI WEWE UMEKOMAA KISIASA NA UNATAMBUA VYEMA UKIBISHANA NA CHIZI NAWE UTAONEKANA CHIZI....