True kama uliwekeza social, physical and psychology energy utapata tabu sana.Yah....ila wapo pia wanaotembea long mileages hadi waje kuwa sawa. Hii yote inadepend na mahusiano yalivyokuwa na umri wa mahusiano husika. So ni across issue....
Sent using Jamii Forums mobile app
Muache taratibu na utengeneze mazingira ya yeye kukuchoka mpaka ifikie hatua atamke yeye kuwa muachane.Nipo kwenye hiyo situation asee..nimemchoka kumwambia ukweli namuonea huruma..
Anapata tabu huyu mwanamke niambieni nimwambie nini aelewe pasipo kuumia
Unajitesa wewe pia. Kama sio mkeo ni simple sana. Just let her go kiroho safiNipo kwenye hiyo situation asee..nimemchoka kumwambia ukweli namuonea huruma..
Anapata tabu huyu mwanamke niambieni nimwambie nini aelewe pasipo kuumia
Sio mke wangu na wala siishi naye..Unajitesa wewe pia. Kama sio mkeo ni simple sana. Just let her go kiroho safi
Nini kinakushinda kumuacha? Jifumanishe..ajue unaye mwingine!Sio mke wangu na wala siishi naye..
Ila yupo mwanamke mwingine ninaye mpenda kwa dhati..
Huyo apo juu mapenzi yalianza kwa bahati mbaya pia sikumtongoza
Sent using Jamii Forums mobile app
Huruma inaniponza mkuu..asante sana kwa ushauri..Nini kinakushinda kumuacha? Jifumanishe..ajue unaye mwingine!
Punguza mawasiliano ajiongezeHuruma inaniponza mkuu..asante sana kwa ushauri..
Kwa sasa nipo mbali mawasiliano yapo ya simu tu..nawezaje kujifumanisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa busy hata akipiga simu unamwambia nitakupigia badae kidogo halafu hupigi. Kuachwa kunauma nyinyiHuruma inaniponza mkuu..asante sana kwa ushauri..
Kwa sasa nipo mbali mawasiliano yapo ya simu tu..nawezaje kujifumanisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen 🙏🏾Kikubwa ni kuomba Mungu tu, afanye wepesi katika muunganiko wa watu wawili....ili ndoa au/na mahusiano yapate kudumu bila kashi kashi za zoruba.
Na hata pale inapotokea shida, basi atupe ujasiri wa kuachana kwa amani na kila mtu akawa fit in all human aspects....
Sent using Jamii Forums mobile app
I love you for thisTunacho kosea sisi ni pale tunavyo jiaminisha hao max lover wetu kuwa walikuwa bora hakuna kama yeye na hata tokea, kuachwa na mtu ni njia ya kukusogeza kwa right person hata kama huyo yupoje, Thamani yako ipo katika kuchukua hatua ya kusonga mbele na kujikubali baada ya kupata matokeo ya NDIVYO SIVYO.
Kaongea kwa vitendo, kubali matokeo, move on mapema ili uanze upya.Inauma sana..
Ni heri akufuate live aeleze msimamo wako kuliko kukuacha kwa style hiyo
Unabaki kwenye sintofahamu, unaweweseka, maumivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha kumbe...Most likely 'hana pesa', wazazi wa karne hii Mungu awarehemu. Wanataka wakwe wenye uwezo kifedha, tena wanakuambia wewe binti waziwazi, trust me!!!
Tupo wengi kumbe mdada. Binafsi pamoja na ushenzi nlionao huwa nikimpenda mdada mpaka Washkaji zangu huwa wanauliza huo moyo wa kupenda huwa ninao kweli au naigiza! Nikipenda huwa naheshimu sana mahusianoNajiona mm
Kuna mda ukikaa unaenda kusoma conv zake za nyuma shikamoo mapenzi
Ubaya ni kuwa huchagui kupenda kidogo au sana,ukiona unachagua hvyo huyo sio mwenyewe
Hakunaga hiyo kitu ya usimpende mtu sana na haitatokea. Ingekuwa hivyo watu wasingekuwa wanalia.