Ukiachwa achika

Yah....ila wapo pia wanaotembea long mileages hadi waje kuwa sawa. Hii yote inadepend na mahusiano yalivyokuwa na umri wa mahusiano husika. So ni across issue....

Sent using Jamii Forums mobile app
True kama uliwekeza social, physical and psychology energy utapata tabu sana.

Fikiria ni mume uliejenga nae nyumba na sasa inabidi mgawane mali.
 
Nipo kwenye hiyo situation asee..nimemchoka kumwambia ukweli namuonea huruma..
Anapata tabu huyu mwanamke niambieni nimwambie nini aelewe pasipo kuumia
 
Nipo kwenye hiyo situation asee..nimemchoka kumwambia ukweli namuonea huruma..
Anapata tabu huyu mwanamke niambieni nimwambie nini aelewe pasipo kuumia
Maumivu lazima yawepo ila ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.
 
Nipo kwenye hiyo situation asee..nimemchoka kumwambia ukweli namuonea huruma..
Anapata tabu huyu mwanamke niambieni nimwambie nini aelewe pasipo kuumia
Muache taratibu na utengeneze mazingira ya yeye kukuchoka mpaka ifikie hatua atamke yeye kuwa muachane.

.
 
I love you for this
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…