hao ukawa wana tabia za kike za kususa Susa ...
Ndg yangu ukisema Ukawa Kwa ujumla wanabehave kike,ilihali kuna jinsia mbili kwenye umoja huo Kwa maana ya kike Na Kiume unakosea.Mihemko,mapenz Na ushabiki wa kivyama yasikusababishe kuondoka kwenye hoja Na kuingia kwenye abusive language.Mbona kabla ya maswali haya hapo Chini kujibiwa wapinzani walikuwa wamekaa Kimya ukumbini?
1. Kwani kama siyo huyo mdada Mwalimu wa Chuo kikuu manayemnadi kama mbobezi wa sheria lakini siyo mwanasisa mkomavu.kugomea Muongozo wa wasomi,wanasheria Na wanasiasa nguli waliofanya mambo makubwa kwenye nchi hii nje Na ndani kwenye mijadala mikubwa ya bunge iliyo-shake nchi .Na kusoma vifungu vyepesi vinavyo-favor serikali Na kuhalalisha uwepo wa kisichokuwepo Zanzibar wapinzani wangepiga Kelele?
2.Kwani kama Dr.Shein angekubali kwenda kukaa Na Mwenzie Retired president Jakaya Mrisho na Amani Abeid Karme wapinzani wangepiga Kelele?
3.Kwani Kama Pandu Amiri Kificho speaker aliyemaliza Muda wake angekubali kwenda kukaa Na Mwenzie retired speaker mama Anna Makinda Na Piusi Msekwa wapinzani wangepiga Kelele?
4.Kwani Kama zec wange-declare mshindi Kwa majimbo 18 ya Pemba Na maV ya unguja Kwa overall winner wapinzani wangepiga Kelele?
MY OPINION:
Watanzania wengi mnapenda kujadili CONSEQUENCE ya jambo hamuangalii SOURCE. Look here..... Your own kid amemwaga cooking oil ndoo nzima uliyonunua Kwa elf.40.
House Admin.ambaye wengine you are calling (house girl or house made.wengine beki 3) japo mimi sipend hayo majina ulishampa kiasi cha kupikia ya wiki.
Hivyo hahusiki Kabisa. Baba/Mama unakurupuka kumpiga HOUSE ADMIN wako kwamba Amekuingizia Hasara kubwa alipe kwenye mshahara wake ama unamfukuza Kazi Kwa uzembe.
Wakati kumbe baba Na mama wenyewe mmekwenda kulewa baa mmeondoka Na funguo ya chumba cha kuhifadhia nafaka Na vyakula mkiwa mmebana kufuli kabla ya lock kuingia kwenye bawaba.hapo Mzembe ninani?
Kweli hii ni "NCHI YA KUSADIKIKA...."
Kikurajembe