UKAWA waeleza sababu za kuzomea Bungeni

UKAWA waeleza sababu za kuzomea Bungeni

Bado haijaeleweka,kuzomea zomea ni ulimbukeni na haitoi taswira ya watu civillised,afterall sio mara ya kwanza na ndio sababu tendo lenyewe la kuzomea wala halikuwa na punch kwa wananchi kwani waliona hakuna jipya na kwamba UKAWA NI ILE ILE.nilikuwa nimekaa na mwanangu wa miaka minne wa chekechea akawa ananiambia "baba waone wale wanafanya kama sisi shuleni" NIMEMNUKUU.

Hata waziri mkuu wa wingereza tukopata misaada anazomewa kwa kuzungumza yasyopendwa ,sembuse wa kwetu aliyeongezewa muda wa kutawala. Heri kuonyesha yanayokukera rahoni kuliko kuishi kama kondoo. ujumbe ilifika hata kama hautakuwa na majibu.
 
Bado haijaeleweka,kuzomea zomea ni ulimbukeni na haitoi taswira ya watu civillised,afterall sio mara ya kwanza na ndio sababu tendo lenyewe la kuzomea wala halikuwa na punch kwa wananchi kwani waliona hakuna jipya na kwamba UKAWA NI ILE ILE.nilikuwa nimekaa na mwanangu wa miaka minne wa chekechea akawa ananiambia "baba waone wale wanafanya kama sisi shuleni" NIMEMNUKUU.

hahahahaha mwanao katisha sana. sometimes hivi tu huwa nashindwa kuelewa kabisa.
 
Waliamua kuwa wastaarabu sana kwa kukubali kutoka nje baada ya sekeseke lililodumu kwa karibia nusu saa. Na hapa ni wazi ujumbe walioukusudia kuutuma, uliwafikia walengwa barabara!!.

Otherwise kundi la watu zaidi ya 100 kama lingeamua kusambaa ndani ya ukumbi ule huku wakiwatumia wabunge wa CCM kama "vikingio" dhidi ya askari ambao walikuwa tayari wameandaliwa kwa mapambano kuwatoa wabunge wetu ambao wengi wao ni wanawake wasiopitia mafunzo ya "ukamanda", kila kitu kingeenda mrama na I am sure kusingekuwa na choice nyingine zaidi ya kuahirisha bunge na hivyo kumfanya Magu ashindwe kabisa kuhutubia!!

Hii ingekuwa mbaya zaidi and total disgusting especially mbele ya jumuiya za kimataifa na wageni wengine waliokuwemo humo.

Busara ya kawaida inasema Dr Mohamedi Shein Rais wa Zanzibar aliyemaliza muda wake hapaswi kuharibu heshima yake kwa manufaa ya wahafidhina wachache wa CCM.

Aidha huyu bwana hakupaswa kuhudhuria hapo ili hali kikatiba na kisheria yeye si Rais ama vinginevyo angekaa huko juu la eneo maalumu la wageni wa spika a.k.a speaker's gallery!!

Tunawapongeza wabunge wa upinzani with exceptional of Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo kwa kuamua kuilinda katiba mliyoapa kuilinda.

Hata hivyo jana binafsi furaha yangu ilikuwa kubwa zaidi kwa kumshuhudia ESTHER AMOS BULAYA ambaye just recently alikuwa upande wa mafisadi wa kijani akiwa mstari wa mbele ktk mapambano ya ULINZI WA KATIBA YA NCHI dhidi ya manyang'au walioamua kuinajisi!!
 
Saa nyingine huwa siwaelewi ccm.... kwamba wao wanajua kabisa kuna mambo ya msingi hawakuyafanya kabisa.... mfano suala la zenj liko wazi kabisa harafu wanataka ukawa wawaelewe tu na kuwa kimya bungeni kama wao?? Kweli hili linaingia akilini? Je spika anapo sema hali hii haitajirudia na kuahidi kuwa atakuwa dictator, je anadhani anawatisha ukawa kwa kuwa ni watoto kama alivo sema raisi? Je anadhani watamwelewa kweli au anataka wamwogope atawapiga bakora sababu ni watoto? Na let say wamemwogopa baada ya vitisho vyake( japo haitawezekana) je spika atakuwa na utulivu wa ndani kwamba anatenda haki? Yuko wapi Mungu mnae muomba kila siku kabla bunge halijaanza japo hamshukuru mkiisha maliza bunge? Ni Mungu yupi ambaye raisi anajinasibu kumfuata kwa kusema "msema kweli ni mpenzi wa Mungu"?? Haki itakandamizwa mpaka lini???
 
Ujumbe umefika na dunia imesikia, hilo tendo la kutoka nje wakati raisi anahutubia lina maana kubwa sana kisiasa, wasioelewa watalichukulia kiurahisi, na ndio maana Spika amesema ni jambo la kuudhi, mgogoro wa Zanzibar wapaswa utafutiwe ufumbuzi mapema

Sahihisho: UKAWA hawakutoka nje, wametimuliwa nje.
 
Bado haijaeleweka,kuzomea zomea ni ulimbukeni na haitoi taswira ya watu civillised,afterall sio mara ya kwanza na ndio sababu tendo lenyewe la kuzomea wala halikuwa na punch kwa wananchi kwani waliona hakuna jipya na kwamba UKAWA NI ILE ILE.nilikuwa nimekaa na mwanangu wa miaka minne wa chekechea akawa ananiambia "baba waone wale wanafanya kama sisi shuleni" NIMEMNUKUU.

Wewe hovyo sana kumbe wewe huwa unamfundisha mwanao kuzomea walimu wake shuleni!!?

Yaani wafuasi wa CCM mna tatizo la upungufu wa kinga ya ubongo (UKIU)!
 
Hata waziri mkuu wa wingereza tukopata misaada anazomewa kwa kuzungumza yasyopendwa ,sembuse wa kwetu aliyeongezewa muda wa kutawala. Heri kuonyesha yanayokukera rahoni kuliko kuishi kama kondoo. ujumbe ilifika hata kama hautakuwa na majibu.

Bila chenga uko sahihi mkuu tatizo ni upenzi wa chama hata kikikiuka katiba yake hakubali kikosolewe
 
Ujumbe umefika na dunia imesikia, hilo tendo la kutoka nje wakati raisi anahutubia lina maana kubwa sana kisiasa, wasioelewa watalichukulia kiurahisi, na ndio maana Spika amesema ni jambo la kuudhi, mgogoro wa Zanzibar wapaswa utafutiwe ufumbuzi mapema

...kwani inasaidia nini kujidai civilised mbele ya mashetani?!
 
Wabunge wa Ukawa walikuwa na haki na sababu za kuchukua hatua waliyochukua. In fact, deservingly, they should have gone much farther than that. Huwezi kukaa kimya wakati unashughudia katiba ikichezewa na mchakato halali wa kidemokrasia ukivurugwa kihuni kihuni. We,as members of a greater community of world's civilised people, have settled for constitutional governance and democratic processes as our avowed principles. We are bound to live by them!
 
Wabunge wa Ukawa walikuwa na haki na sababu za kuchukua hatua waliyochukua. In fact, deservingly, they should have gone much farther than that. Huwezi kukaa kimya wakati unashughudia katiba ikichezewa na mchakato halali wa kidemokrasia ukivurugwa kihuni kihuni. We,as members of a greater community of world's civilised people, have settled for constitutional governance and democratic processes as our avowed principles. We are bound to live by them!

You are defenetely right, sir/madam!

They should have gone beyond that kwa ku disperse ndani ya ukumbi kwenye kundi la wabunge wa CCM na tungeweza kushuhudia mbunge mmoja wa upinzani akikabana koo na wabunge 2 au 3 wa CCM na wakati huo huo askari wakiruka juu ya meza na viti kukamata mmoja mmoja na kwa kuwa hawawajui si ajabu hata wa CCM wangekula kibano tu, si unajua jamaa huwa non selective?

Pengine tungeshuhudia mabomu ya machozi ndani ukumbi wa bunge jana!!
 
Vipi aligusia kitendo cha maalim kujitangaza mshindi kabla tume haijamaliza kutangaza matokeo?

Tume ilishamaliza kutoa matokeo ndio maana maalim akayapata yake na ya sheni na kuona ameshinda kwa kura zisizopungua elfu 25

Lakini kosa la kujitangazia matokeo ni kosa la jinai ambalo likisibitishwa na mahakama adhabu yake ni milioni 5 au kifungo au adhabu zote mbili.

Kufuta uchaguzi sio hukumu ya kujitangazia matokeo.
 
Back
Top Bottom