The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,356
- 4,655
Uwiii Yesu na Maria! Jamani yule Mzee wa UBUNGO kafufua MSUKULE MWINGINE huu hapa utambueni..unakwenda na JINA LA REALITY....someni UTUMBO wake hapo juu....
Na hapa umechangia?
Uwiii Yesu na Maria! Jamani yule Mzee wa UBUNGO kafufua MSUKULE MWINGINE huu hapa utambueni..unakwenda na JINA LA REALITY....someni UTUMBO wake hapo juu....
Wewe ni shetani na unamawazo ya kishetani na unawaza kama alivyosema mzee mkapa kuwa wapinzani ni malofa na wapumbavu. Ukawa wangekuwa wa maana tu iwapo;
1.Wasingekaribisha mwizi waliyesema ni fisadi
2. Baada ya kushindwa uchaguzi wangekubali matokeo na kukubali kushirikiana na Dr Magufuli bila kujali itikadi
3. Leo hawakuwa na haja ya kuzomea na kupiga kelele utafikiri wamevaa pampas wote
kwa ufupi CCM kwa sasa ndiyo chama pekee chenye kubeba matumaini ya watanzania. Wapinzani sasa ni wanaharakati wanasubiri CCM ikosee waseme , yaani wanaishi kishetani shetani (maana shetani huwa hamuwezi mtu wa Mungu ila husubiria akosee ili amshambulie)
MPUMBAVU WEWE, MNACHUKUA POSHO, MNAFUNGA SAFARI KWENDA BUNGENI, MNAFNYA UCHAGUZI WA SPIKA, NAIBU SPIKA, WAZIRI MKUU( MTEULIWA WA RAIS) , KISHA ANAINGIA RAIS MNAZOMEA NA KUPIGA KELELE?? KISHA MNAENDA BAA KUMALIZIA HOTUBA
TRUE GENIUSITY OF MINORITY NI KUWAAMBIA WANANCHI HAMKUBALIANI NA ZANZIBAR, HAMUMKUBALI MAGUFULI, HAMCHUKUI POSHO NA BUNGENI HAMUENDI!! THAT WAS EXCACTLY YOU WERE SUPPOSED TO DO
OTHERWISE NI UPUMBAVU NA KUDANGANYA TOTO
hope umeelewa sasa
acha kuwa na akili nyembamba
Hayo ni mawazo yako ambayo yanafanana na ya wana CCM wengi.....UKAWA wanawawakilisha watu wengi tu waliowapigia kura...
Mimi niliewapigia kura na hata wezangu nilionao hapa wote tumefurahi walichofanya wawakilishi wetu....
Nyie furahieni walichofanya wawakilishi wenu....CCM na ACT.......
Endelea kushabikia uozo. Uzuri Watanzania walio wengi wanajua kuwa wapinzani wa UKAWA ni wahuni tu na hamna maana yoyote kwa taifa vilaza nyinyi.
Huwezi kumjua shetani kama na wewe sio shetaniWewe ni shetani na unamawazo ya kishetani na unawaza kama alivyosema mzee mkapa kuwa wapinzani ni malofa na wapumbavu. Ukawa wangekuwa wa maana tu iwapo;
1.Wasingekaribisha mwizi waliyesema ni fisadi
2. Baada ya kushindwa uchaguzi wangekubali matokeo na kukubali kushirikiana na Dr Magufuli bila kujali itikadi
3. Leo hawakuwa na haja ya kuzomea na kupiga kelele utafikiri wamevaa pampas wote
kwa ufupi CCM kwa sasa ndiyo chama pekee chenye kubeba matumaini ya watanzania. Wapinzani sasa ni wanaharakati wanasubiri CCM ikosee waseme , yaani wanaishi kishetani shetani (maana shetani huwa hamuwezi mtu wa Mungu ila husubiria akosee ili amshambulie)
UKAWA pekee ni watu walioyoka hadharani na kupambania haki ya watu wa Zanzibar bila aibu wala uoga.
Wanafiki tu watadharau ujumbe uliowasilishwa na UKAWA.
Huwezi kumjua shetani kama na wewe sio shetani
sidhani kama kichaa anaweza tambua kua yeye ni kichaa, hata ukimwambia kua wewe ni kichaa atakushangaa sana. ndivyo ukawa mlivyo hamuwezi tambua damage mliyoipata kwenye reputation yenu hata mkiambiwa hivyo.
Mkuu tatizo la ukawa vigeugeu toka lini wamekuwa watetezi wa wazanzibar au wanamtetea swahiba wao Maalim? usiwalie yamini ukawa utaumbuka
Tatizo ni pale unapoiongelea UKAWA huku huifahamu. Jiulize UKAWA ni akina nani kwanza!