Scale
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 2,122
- 2,658
Endelea kushabikia uozo. Uzuri Watanzania walio wengi wanajua kuwa wapinzani wa UKAWA ni wahuni tu na hamna maana yoyote kwa taifa vilaza nyinyi.
Wahuni waligombea na wastaarab wahuni wakashinda au bungeni wamefikaje hebu funguruka zaidi mkuu! Tuseme Bulaya Mhuni kagombea na Wasira Mstaarabu... harafu.... !! Sielewi hapa! Au Uhuni tafsiri yake nini? Nadhani waliowachagua(wananchi) wanawafahamu zaidi yetu tunaopiga domo hapa kwenye keyboards!