Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,932
- 1,727
Wewe kijana tangu lini Mungu akaitwa rais. Acha kukufuru.MUNGU anatosha kuwa raisi wangu katika tanganyika nayoishi,sitawaliwi na viumbe period
Wewe kijana tangu lini Mungu akaitwa rais. Acha kukufuru.MUNGU anatosha kuwa raisi wangu katika tanganyika nayoishi,sitawaliwi na viumbe period
Dunia gani unayoiongelea. Acha kujidanganya. Nani amesikia?...it was their perfect timing kuiambia dunia...
mimi kama mzalendo wa taifa langu mwenye kuelewa nini maana ya haki,utawala bora,demokrasia,sheria ,utu,upendo na falsafa za hekima na busara niko radhi mwanangu wa pili nimpatie jina "ukawa locken" maana i feel pride kuwaona watu wachache wenye hofu ya mungu kutetea haki ya wanyonge ilhali wengi wenye ngozi ya kondoo kunufaika kwa migongo ya kiini macho na propaganda ,kiukweli kikiem kwangu ni kama dhambi ni kama moto wa jeha ila upinzani ni amani ya nafsi,furaha ya moyo na raha katika maisha yangu maana hufanya uhalisia katika maisha halisi sio maigizo kwenye uhalisia,serikali yangu mi naijua mwenyewe binafsi,rais wangu namjua,tanganyika naishi ila Mungu hatowasahau wema milele
unamfahamu. ulikutana naye wapi?tangu nimfahamu
Ulimwengu gani wote unaoungelea wewe? Acha mashikhara sasa....hata kama ulimwengu wote umeona walivyoshindwa...
Mbaya zaidi hatuhuziniki katiba inapokiukwa live live.Watanzania ni watu wa ajabu sana. Tunahuzunika wabunge kutumia haki yao ya msingi na kutoka bungeni lakini hatuhuzuniki pale uchaguzi unapofutwa kinyemela.
mimi kama mzalendo wa taifa langu mwenye kuelewa nini maana ya haki,utawala bora,demokrasia,sheria ,utu,upendo na falsafa za hekima na busara niko radhi mwanangu wa pili nimpatie jina "ukawa locken" maana i feel pride kuwaona watu wachache wenye hofu ya mungu kutetea haki ya wanyonge ilhali wengi wenye ngozi ya kondoo kunufaika kwa migongo ya kiini macho na propaganda ,kiukweli kikiem kwangu ni kama dhambi ni kama moto wa jeha ila upinzani ni amani ya nafsi,furaha ya moyo na raha katika maisha yangu maana hufanya uhalisia katika maisha halisi sio maigizo kwenye uhalisia,serikali yangu mi naijua mwenyewe binafsi,rais wangu namjua,tanganyika naishi ila Mungu hatowasahau wema milele
Umeandika vizuri mno ila nina hofu ya kuwa huelewi maana ya demokrasia ya vyama vingi.kuna mambo UKAWA hawakuyapenda na taratibu za kushughulika nzayo zimekwama ile ilikuwa njia sahihi.Walivyokuwa waungwana walitoka walipoamriwa na spika.Wewe ni shetani na unamawazo ya kishetani na unawaza kama alivyosema mzee mkapa kuwa wapinzani ni malofa na wapumbavu. Ukawa wangekuwa wa maana tu iwapo;
1.Wasingekaribisha mwizi waliyesema ni fisadi
2. Baada ya kushindwa uchaguzi wangekubali matokeo na kukubali kushirikiana na Dr Magufuli bila kujali itikadi
3. Leo hawakuwa na haja ya kuzomea na kupiga kelele utafikiri wamevaa pampas wote
kwa ufupi CCM kwa sasa ndiyo chama pekee chenye kubeba matumaini ya watanzania. Wapinzani sasa ni wanaharakati wanasubiri CCM ikosee waseme , yaani wanaishi kishetani shetani (maana shetani huwa hamuwezi mtu wa Mungu ila husubiria akosee ili amshambulie)
Ila bado sana kwa kuwa aslilimia kubwa ya jamii haielewi haya,haielewi hata haki zao za msingi inasikitisha sana kwani hata wale wachache wanaojitolea wasipopata support wanakuwa na wakati mgumu sanahebu fikiria kuna mijitu inaona upinzani kutoka ni swala baya.