Unazijua pesa au unizisikia tu....???Nilimsikia Mbowe kwenye habari akidai wao hawana shida na posho.
Au hii habari ni uzushi tu?
sasa kwa nini walikataa posho pindi spika alipowanyima, wakati wanajua ni haki yao? au hawakuielewa katiba inasemaje juu yaposho. AU UKATA UMEZIDI. MAGU KAFICHA PESA.Wako sawa kabisa! Kuna kanuni/sheria inayosema usipohudhuria vikao vya bunge unanyimwa posho. Sheria ipi aliitumia Tulia kuwanyima posho? It makes sense , ni kuwa watu hatujui haki zetu. Ni sawa kama upuuzi anaoufanya Fastjet kuahirisha safari bila kuwa alternative air transport or accommodation to the would be passengers! Only recently one advocate has approached the court to that effect and has won the case!
hivi wewe ni mlipa kodi katika nchi hii kweli.? nina wasiwasi. utakuwa under age. hivi walipwe kwa kitu gani. si bora pesa hiyo ipelekwe kununulia madawati mashuleni au madawa hospitalini. ni nani aliwatuma wagome.? kuna yeyote alienda kwenye jimbo lake na kuomba watu wake kuwa anaenda kugoma bungeni na akakubaliwa. ni lazima tujue wabunge wameomba kazi kwa wananchi majimboni. wakapewa kazi na ni lazima waende bungeni kuwafanyia kazi. na sio kwenda kugoma kula na kulala tu. nani anagharamia muda huu uliopotea. tena ningeshauri hata mishahara yao ingekatwa kwa siku zilezote ambazo hawakufanya kazi.
Wabunge wa UKAWA waliositishiwa posho zao baada ya ule mchezo wa kutoka bungeni sasa kudai posho zao mahakamani.
Hiii sijui imekaaje mtu kuhangaikia pato ambalo hujalifanyia kazi.
Source Star tv face book.
Nilimsikia Mbowe kwenye habari akidai wao hawana shida na posho.
Au hii habari ni uzushi tu?
Wako sawa kabisa! Kuna kanuni/sheria inayosema usipohudhuria vikao vya bunge unanyimwa posho. Sheria ipi aliitumia Tulia kuwanyima posho? It makes sense , ni kuwa watu hatujui haki zetu. Ni sawa kama upuuzi anaoufanya Fastjet kuahirisha safari bila kuwa alternative air transport or accommodation to the would be passengers! Only recently one advocate has approached the court to that effect and has won the case!
Kwani posho zinatoka kwa kuingia Bungeni au kufanyia kazi kuchangia hoja au hta wale vilaza ambao kazi yao kulalamika wamevuliwa kofia na picha ya diamond iwekwe town city centreWabunge wa UKAWA waliositishiwa posho zao baada ya ule mchezo wa kutoka bungeni sasa kudai posho zao mahakamani.
Hiii sijui imekaaje mtu kuhangaikia pato ambalo hujalifanyia kazi.
Source Star tv face book.
Ningemdai na viboko juuKwani wale waliokaa pale na kunyamaza kimya wamefanya kazi gani? Au yule wa kujenga mnara wa push up, ingekuwa watu wanalipwa kwa performance na zinatoka mfukoni mwako, ungempa ngapi yule?
Sikumbuki nikumbushe!Lakini Mbatia alisemaje wakati Spika alipotangaza kusitishwa kwa posho kwa wanaotoka nje?
ine wakinyamaza wao wanatoka nje halafu wanakuaj kudai posho?!?!?!Kwani wale waliokaa pale na kunyamaza kimya wamefanya kazi gani? Au yule wa kujenga mnara wa push up, ingekuwa watu wanalipwa kwa performance na zinatoka mfukoni mwako, ungempa ngapi yule?
Nitakujibu kwa vile sijakufahamu ukiwa kama akina Lizaboni &Co Ltd, nitajitoa. Uko bungeni husikilizwi kila ukiomba mwongozo kwa sababu ya majority ya CCM unakataliwa, unafanyaje? How do you show discontent! Umepanga hotuba wanakwambia toa hili weka hili, unafanyaje? Wanakupangia la kusema ni lipi , unafanyaje? Wakati wewe ni mpinzania na kazi yako ni kuonyesha mapungufu ya serikali kwa nia njema ( in good faith) yarekebishwe unaambiwa kuwa pungufu la Lugumi usiliseme, la nyumba za serikali zilizouzwa usiliseme, what do you do?sasa kwa nini walikataa posho pindi spika alipowanyima, wakati wanajua ni haki yao? au hawakuielewa katiba inasemaje juu yaposho. AU UKATA UMEZIDI. MAGU KAFICHA PESA.
kwani bungeni mwenye jukumu la kuratibu na kuongoza bungeni ni nani si spika?
ikiwa hawamtaki naibu spika kwa nn wasilete hoja bungeni na kuipeleka mahakamani, mpk wazunguke mitaani inamaana hawajui namna ya kumuengua spika. katiba inassema spika atachaguliwa na wabunge pia kutenguliwa na wabunge kwa kufuata sheria, mbona wao hawafati sheria