mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,469
Basi haya kama ni wa Lumumba waweke no zao apa warushiwe buku 7 zaoMkuu huo ndio utambulisho rasmi wa vijana wa lumumba
Basi haya kama ni wa Lumumba waweke no zao apa warushiwe buku 7 zaoMkuu huo ndio utambulisho rasmi wa vijana wa lumumba
Tulia mwaka huu utajilaumu kukubali hiyo nafasiUkawa
Wana haki ya kwenda mahakamani
Kwa kuwa walikuwa wanasaini mahudhurio
Kisha wanatoka
Malalamiko yao waliyafikisha kwenye kamati ya bunge kuwa hawana imani na naibu spika
Kwaio wanavigezo vyote vya kushinda kesi
hapa naona kuna namna...kwa nini wasipeleke hoja za msingi zinazowagusa watanzania walio wengi walio wachagua kama wawakilishi wao...naona kweli tumbo liko na nguvu hapa!Wabunge wa UKAWA waliositishiwa posho zao baada ya ule mchezo wa kutoka bungeni sasa kudai posho zao mahakamani.
View attachment 363532
Hiii sijui imekaaje mtu kuhangaikia pato ambalo hujalifanyia kazi.
Naunga mkono hoja. Bora wafanye hivyo ili kuweka kumbukumbu sahihi!
Mkuu siku hizi ni buku 2Basi haya kama ni wa Lumumba waweke no zao apa warushiwe buku 7 zao
Mh!!! Haya buku 2 zako fasta lumumbaMkuu siku hizi ni buku 2
are you solving problem by creating problem...kama hii kichwa yako ndio ya watanzania,basi kazi ipo!Tutapata ufafanuzi soon
Alafu wale wa Bunge wa CCM waliopewa mpaka barua na chama kwa kutohudhuria vikao nao walinyimwa posho?
Wako sawa kabisa! Kuna kanuni/sheria inayosema usipohudhuria vikao vya bunge unanyimwa posho. Sheria ipi aliitumia Tulia kuwanyima posho? It makes sense , ni kuwa watu hatujui haki zetu. Ni sawa kama upuuzi anaoufanya Fastjet kuahirisha safari bila kuwa na alternative air transport or accommodation to the would be passengers! Only recently one advocate has approached the court to that effect and has won the case!
Sema wewe ndiye huelewi uliza ueleweshwe. Fastjet wanatabia ya kuahirisha safari the way they feel, at their own leisure, hakuna anayewapeleke mahakamani kwa vile hatujui haki zetu. Only recently................Hivyo hivyo na huyu Tulia, mamlaka ameyapata wapi ya kuwanyima posho? Sasa wamejua haki zao! Ametumia kanuni ipi?Huo mfano wa fastjet hata haufanani na ulichoandika!
Si walisema hawana haja na posho? Imekuwaje tena?
Masahihisho edity=edit, gret=greatDarasa la NNE nchi gani mkuu hicho kitabu mwaka huo wa 1997?
Maana
Sizitaki mbivu hizi????;!!!!!!!
Kwanini ccm ni watupu sana kichwani jamani?
Ebu nisaidieni
Au edity fasta kabla magret thinkers hawajaja hapa
hahahahahaa dah hii nchi mungu wape hekima na maarifa viongoz wa tanzania
UKAWA ni wahuniSi walisema hawana haja na posho? Imekuwaje tena?