CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,387
- 6,481
Haya bwana , nimekupata!Tulia alitumia sheria ya Mungu inayosema asiyefanya kazi na asile
Haya bwana , nimekupata!Tulia alitumia sheria ya Mungu inayosema asiyefanya kazi na asile
Acheni kukurupuka nyie manyumbu!Mwanzoni c mlidai kuwa hawana njaa?Ukawa
Wana haki ya kwenda mahakamani
Kwa kuwa walikuwa wanasaini mahudhurio
Kisha wanatoka
Malalamiko yao waliyafikisha kwenye kamati ya bunge kuwa hawana imani na naibu spika
Kwaio wanavigezo vyote vya kushinda kesi
MataahiraWabunge wa UKAWA waliositishiwa posho zao baada ya ule mchezo wa kutoka bungeni sasa kudai posho zao mahakamani.
View attachment 363532
Hiii sijui imekaaje mtu kuhangaikia pato ambalo hujalifanyia kazi.