UKAWA kwenda kudai posho mahakamani

UKAWA kwenda kudai posho mahakamani

Nitakujibu kwa vile sijakufahamu ukiwa kama akina Lizaboni &Co Ltd, nitajitoa. Uko bungeni husikilizwi kila ukiomba mwongozo kwa sababu ya majority ya CCM unakataliwa, unafanyaje? How do you show discontent! Umepanga hotuba wanakwambia toa hili weka hili, unafanyaje? Wanakupangia la kusema ni lipi , unafanyaje? Wakati wewe ni mpinzania na kazi yako ni kuonyesha mapungufu ya serikali kwa nia njema ( in good faith) yarekebishwe unaambiwa kuwa pungufu la Lugumi usiliseme, la nyumba za serikali zilizouzwa usiliseme, what do you do?
kwa nn mlikubari kunyimwa posho afu now mdai
 
Darasa la NNE nchi gani mkuu hicho kitabu mwaka huo wa 1997?
Maana
Sizitaki mbivu hizi????;!!!!!!!
Kwanini ccm ni watupu sana kichwani jamani?
Ebu nisaidieni
Au edity fasta kabla magret thinkers hawajaja hapa
''Edity'' ndio nini na ''Magret'' thinkers ni kina nani hao? na neno ''Ebu'' ni aina gani hiyo ya neno .Unamkosoa mwenzako kwa mbwembwe na wewe unakosea tena lugha za watu kwa umbea wako, sasa hapa una tofauti gani na hao ccm watupu wakati wewe mwenyewe ni mwendokasi katika elimu? Ungetumia kiswahili tu ingekusaidia pia.
Nirudi kwenye mada, Ukawa mkadai posho zenu tena bila kumchekea mtu, familia zenu zinahitaji hiyo amana kwa ajili ya kujikimu na ni haki yenu kabisa
 
''Edity'' ndio nini na ''Magret'' thinkers ni kina nani hao? na neno ''Ebu'' ni aina gani hiyo ya neno .Unamkosoa mwenzako kwa mbwembwe na wewe unakosea tena lugha za watu kwa umbea wako, sasa hapa una tofauti ganibna hao ccm watupu wakati wewe mwenyewe ni mwendokasi katika elimu? Ungetumia kiswahili tu ingekusaidia pia.
Nirudi kwenye mada, Ukawa mkadai posho zenu tena bila kumchekea mtu, familia zenu zinahitaji hiyo amana kwa ajili ya kujikimu na ni haki yenu kabisa
Ccm hamwishi maneno nyie, mi nimekosoa content yake wewe unapambana na lugha, OK pale
Msaidie sizitaki mbivu hizi ndo kitabu gani?
 
Hili kundi la hovyo sana kuwahi kutokea. Wamesema hawana shida na posho, walisema hata za katiba Hawa kuwa na shida nazo, yaani leo wanasema hiki na kesho wanasema kingine. Wanazidi kuungua na ukata walau wapate hata maji ya kunywa, chezea kibano cha JPM wewe ...wanaomba poooo kwa mlango wa nyuma.
 
Ccm hamwishi maneno nyie, mi nimekosoa content yake wewe unapambana na lugha, OK pale
Msaidie sizitaki mbivu hizi ndo kitabu gani?
Ulipata wapi authority ya kukosoa wakati ulikuwa unajua kakosea na wewe hutaki kukosolewa kwenye lugha? Sadiki na Sikili na ilitakiwa kuwa ''Sizitaki mbichi hizi''
 
Hili ni jambo la aibu na kushangaza. Kulipwa bila kufanya kazi hata vitabu vya dini zote zinakataza. Je ikikubalika haya hayatakuwa malipo hewa?

Wana JF naomba maoni yenu. Sitegemei hoja za matusi.
 
"Tuliacha 30ml za bunge la katiba mpya, hatuzihitaji hizo posho" By Mbatia na David Silinde.
Walifanya maamuzi ya kijinga, sasa ni muda wa kula matapishi yao, na bungeni wao ndio wanasubiria usuluhishi na Dr Tulia, dawa ni kukataa kikao chochote cha usuluhishi kwa sababu mtu aliyewaamuru wagome ni Mbowe na huyo ndio atawaamuru warudi ndani.
KATAA KUWA NYUMB...
 
Hahahaha nilijua tu kuwa watakwenda mahakamani maana hawa jamaa njaa tupu.
 
Kwani wale waliokaa pale na kunyamaza kimya wamefanya kazi gani? Au yule wa kujenga mnara wa push up, ingekuwa watu wanalipwa kwa performance na zinatoka mfukoni mwako, ungempa ngapi yule?
Wale walitoka nje wenyewe na waliziba midomo, bora hata huyo wa mnara.
 
Tutapata ufafanuzi soon

Alafu wale wa Bunge wa CCM waliopewa mpaka barua na chama kwa kutohudhuria vikao nao walinyimwa posho?
Kumnyima mbunge wa ccm posho ni kosa,maana wao wana haki ya kuvuna wasicho panda
 
Kwani wale waliokaa pale na kunyamaza kimya wamefanya kazi gani? Au yule wa kujenga mnara wa push up, ingekuwa watu wanalipwa kwa performance na zinatoka mfukoni mwako, ungempa ngapi yule?
Na wa kuliomba bunge kupitisha sheria ili picha ya diamond ibandikwe barabarani kama kumbukumbu ya taifa
 
Darasa la NNE nchi gani mkuu hicho kitabu mwaka huo wa 1997?
Maana
Sizitaki mbivu hizi????;!!!!!!!
Kwanini ccm ni watupu sana kichwani jamani?
Ebu nisaidieni
Au edity fasta kabla magret thinkers hawajaja hapa
Mkuu huo ndio utambulisho rasmi wa vijana wa lumumba
 
Huu ni muda wa Kazi tu wao wanaleta vituko mtaani
 
Wako sawa kabisa! Kuna kanuni/sheria inayosema usipohudhuria vikao vya bunge unanyimwa posho. Sheria ipi aliitumia Tulia kuwanyima posho? It makes sense , ni kuwa watu hatujui haki zetu. Ni sawa kama upuuzi anaoufanya Fastjet kuahirisha safari bila kuwa na alternative air transport or accommodation to the would be passengers! Only recently one advocate has approached the court to that effect and has won the case!
Kwa wana lumumba wao kila kitu ni kushangilia, wakiongozwa na kinara wao lizaboni
 
Back
Top Bottom