Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,427
- 73,072
Hawako active hata kidogo, mnajua kuwa Radio, TV na magazeti mengi nchi hii ambavyo ndio vyombo vya kufikishia habari ya nini kinaendelea haviko huru kwa woga au kwa kujipendekeza ili wapate matangazo ya biashara kuendeshea vyombo vyao.
Cha kushangaza matukio yao wanashindwa kuhakikisha waandishi wa vyombo vya nje waliopo hawashirikishwi. Vyombo kama CNN, BBC, ALJAZEERA, REUTERS, SABC nk hivyo matukio mengi hayafahamiki nje ya nchi na wao kudhani mambo ni poa sana kama ikivyokuwa zamani.
Hata hapa ndani, mumeshindwa kuandaa vipindi hata vya kulipia katika TV venye maudhui ya kujitangaza dhamira na nini kinaendelea.
Wakati umefika muamke ili msije kuwalaza na wengine au ongezeni nguvu vitengo vyenu vya habari. Na kila tukio hakikisheni mnawawezesha waandishi wa vyonbo vya nje wahudhurie sio kuwajaza wa Uhuru ambao mnajua badala ya kujenga wataleta damage
Cha kushangaza matukio yao wanashindwa kuhakikisha waandishi wa vyombo vya nje waliopo hawashirikishwi. Vyombo kama CNN, BBC, ALJAZEERA, REUTERS, SABC nk hivyo matukio mengi hayafahamiki nje ya nchi na wao kudhani mambo ni poa sana kama ikivyokuwa zamani.
Hata hapa ndani, mumeshindwa kuandaa vipindi hata vya kulipia katika TV venye maudhui ya kujitangaza dhamira na nini kinaendelea.
Wakati umefika muamke ili msije kuwalaza na wengine au ongezeni nguvu vitengo vyenu vya habari. Na kila tukio hakikisheni mnawawezesha waandishi wa vyonbo vya nje wahudhurie sio kuwajaza wa Uhuru ambao mnajua badala ya kujenga wataleta damage