UKAWA kitengo cha habari mmelala?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
40,427
73,072
Hawako active hata kidogo, mnajua kuwa Radio, TV na magazeti mengi nchi hii ambavyo ndio vyombo vya kufikishia habari ya nini kinaendelea haviko huru kwa woga au kwa kujipendekeza ili wapate matangazo ya biashara kuendeshea vyombo vyao.

Cha kushangaza matukio yao wanashindwa kuhakikisha waandishi wa vyombo vya nje waliopo hawashirikishwi. Vyombo kama CNN, BBC, ALJAZEERA, REUTERS, SABC nk hivyo matukio mengi hayafahamiki nje ya nchi na wao kudhani mambo ni poa sana kama ikivyokuwa zamani.

Hata hapa ndani, mumeshindwa kuandaa vipindi hata vya kulipia katika TV venye maudhui ya kujitangaza dhamira na nini kinaendelea.

Wakati umefika muamke ili msije kuwalaza na wengine au ongezeni nguvu vitengo vyenu vya habari. Na kila tukio hakikisheni mnawawezesha waandishi wa vyonbo vya nje wahudhurie sio kuwajaza wa Uhuru ambao mnajua badala ya kujenga wataleta damage
 
Hawako active hata kidogo, mnajua kuwa Radio, TV na magazeti mengi nchi hii ambavyo ndio vyombo vya kufikishia habari ya nini kinaendelea haviko huru kwa woga au kwa kujipendekeza ili wapate matangazo ya biashara kuendeshea vyombo vyao.
Cha kushangaza matukio yao wanashindwa kuhakikisha waandishi wa vyombo vya nje waliopo hawashirikishwi. Vyombo kama CNN, BBC, ALJAZEERA, REUTERS, SABC nk hivyo matukio mengi hayafahamiki nje ya nchi na wao kudhani mambo ni poa sana kama ikivyokuwa zamani.
Hata hapa ndani, mumeshindwa kuandaa vipindi hata vya kulipia katika TV venye maudhui ya kujitangaza dhamira na nini kinaendelea.
Wakati umefika muamke ili msije kuwalaza na wengine au ongezeni nguvu vitengo vyenu vya habari. Na kila tukio hakikisheni mnawawezesha waandishi wa vyonbo vya nje wahudhurie sio kuwajaza wa Uhuru ambao mnajua badala ya kujenga wataleta damage
Unaitaja UKAWA ipi ya Tz ambayo imeziba midomo yake? Wataongeaje na media wakati arobaini ya kutolewa nyizi midomo yao haijafika? Au unaongea na UKAWA Wanaojiona wanyonge na kuona wanadharirishwa na naibu spika mwanamke? Ni wale wasiotofautisha usiku na mchana? Ongea nao labda wewe watakusikiliza mjomba!
9966821196ce39f8faf6f156b1690665.jpg
 
Safi sana Kitila
Unaitaja UKAWA ipi ya Tz ambayo imeziba midomo yake? Wataongeaje na media wakati arobaini ya kutolewa nyizi midomo yao haijafika? Au unaongea na UKAWA Wanaojiona wanyonge na kuona wanadharirishwa na naibu spika mwanamke? Ni wale wasiotofautisha usiku na mchana? Ongea nao labda wewe watakusikiliza mjomba!
9966821196ce39f8faf6f156b1690665.jpg
a
 
Wanajua uovu wao kwa jamii zaidi ya wanaopoteza muda mitandaoni kutetea waovu.

nadhani wako sawa. Maana zamani walikuwa na jeuri ya kutetea uzushi juu ya viongozi wa chama.
 
Siasa za upinzani za sasa nchini kwetu naona zimeishiwa mbinu sasa wanaanza kuwa na mbinu kama za mtoto anaeyechapwa halafu anasusa kula na kuongea kama anamkomoa mtu anasahau kua yeye bado ni mtoto na baba yake ndo anampa kila kitu
ama kwa hakika huu mchezo hauhitaji nguvu
 
Hawako active hata kidogo, mnajua kuwa Radio, TV na magazeti mengi nchi hii ambavyo ndio vyombo vya kufikishia habari ya nini kinaendelea haviko huru kwa woga au kwa kujipendekeza ili wapate matangazo ya biashara kuendeshea vyombo vyao.

Cha kushangaza matukio yao wanashindwa kuhakikisha waandishi wa vyombo vya nje waliopo hawashirikishwi. Vyombo kama CNN, BBC, ALJAZEERA, REUTERS, SABC nk hivyo matukio mengi hayafahamiki nje ya nchi na wao kudhani mambo ni poa sana kama ikivyokuwa zamani.
Hata hapa ndani, mumeshindwa kuandaa vipindi hata vya kulipia katika TV venye maudhui ya kujitangaza dhamira na nini kinaendelea.

Wakati umefika muamke ili msije kuwalaza na wengine au ongezeni nguvu vitengo vyenu vya habari. Na kila tukio hakikisheni mnawawezesha waandishi wa vyonbo vya nje wahudhurie sio kuwajaza wa Uhuru ambao mnajua badala ya kujenga wataleta damage
Maalim Seif anahit the targets.
 
Hilo eneo kusema ukweli upinzani umedolola sana, mwaka jana wakati wa uchaguzi ilikuwa tabu sana kupata official page za vyama vya upinzani. Chama tawala kilijipanga vyema sana. vyama vya upinzani vina safari ndefu sana kwasababu mambo madogo kama hayo yakiwashinda sijui kama nchi wataiweza
 
Hawako active hata kidogo, mnajua kuwa Radio, TV na magazeti mengi nchi hii ambavyo ndio vyombo vya kufikishia habari ya nini kinaendelea haviko huru kwa woga au kwa kujipendekeza ili wapate matangazo ya biashara kuendeshea vyombo vyao.

Cha kushangaza matukio yao wanashindwa kuhakikisha waandishi wa vyombo vya nje waliopo hawashirikishwi. Vyombo kama CNN, BBC, ALJAZEERA, REUTERS, SABC nk hivyo matukio mengi hayafahamiki nje ya nchi na wao kudhani mambo ni poa sana kama ikivyokuwa zamani.
Hata hapa ndani, mumeshindwa kuandaa vipindi hata vya kulipia katika TV venye maudhui ya kujitangaza dhamira na nini kinaendelea.

Wakati umefika muamke ili msije kuwalaza na wengine au ongezeni nguvu vitengo vyenu vya habari. Na kila tukio hakikisheni mnawawezesha waandishi wa vyonbo vya nje wahudhurie sio kuwajaza wa Uhuru ambao mnajua badala ya kujenga wataleta damage
Mwanahabari huru umesikia ?
 
nakuhakikishia hata wakiandaa vipind havitarushwa na hata vikiushwa hicho kituo lazima kiwe matatani,,,,ila cku zote ukimuona kobe kainamisha kichwa ujue anapanga mkakati mpya
 
Kwa habari za upinzani nchi nyingi za Afrika bila ya msaada wa vyombo vya habari vya nje ni kazi ngumu sana kuekeweka. Hata kule Sudan kusini yanayotokea ni msaada mkubwa wa habari zao kuandikwa na kutangazwa nje zaidi.
Namsifu sana msanii GADO anajaribu kutumia sanaa yake ya uchoraji huko nje kuonyesha nini kinaendelea mpaka huku ndani wanalalamika.
 
Leo hii tulipaswa tuwe na walau CHADEMAFORUM,CUFFORUM,NCCRFORUM ,n.k.Haya mambo tumesema sana lakini sijui kikwazo ni nini!
Kwa vile sisi sio ccm, hatuna mambo ya huyu ni mwenzetu katika kutotimiza wajibu.
Tunahitaji majibu tujue nini ni tatizo, maana kama ni manpower mbona hata wa kujitolea wapo? Jee ni funds? Zitapatikana miongoni mwetu. Wapinzani sio masikini wa kipato, wengi ni watu wenye shughuli zao na hawakuzoea kukinga mkono kupokea kama hawa Vijana wa Lumumba
 
Kwa habari za upinzani nchi nyingi za Afrika bila ya msaada wa vyombo vya habari vya nje ni kazi ngumu sana kuekeweka. Hata kule Sudan kusini yanayotokea ni msaada mkubwa wa habari zao kuandikwa na kutangazwa nje zaidi.
Namsifu sana msanii GADO anajaribu kutumia sanaa yake ya uchoraji huko nje kuonyesha nini kinaendelea mpaka huku ndani wanalalamika.
Hivi Chadema kama wanashindwa kuwa na headquarters ya kisasa bado wameng'ang'ana kwenye kile kibanda cha pale Ufipa ndio wataweza kuorganise big things?

Chadema hii inayotegemea nguvu na akili binafsi za Mbowe ni ngumu kuenenda kama unavyofikiri wewe, muombeeni Mbowe afya njema ndio mtu mwenye vision pana ninayemuona mimi kwenye hicho chama.
 
Hawako active hata kidogo, mnajua kuwa Radio, TV na magazeti mengi nchi hii ambavyo ndio vyombo vya kufikishia habari ya nini kinaendelea haviko huru kwa woga au kwa kujipendekeza ili wapate matangazo ya biashara kuendeshea vyombo vyao.

Cha kushangaza matukio yao wanashindwa kuhakikisha waandishi wa vyombo vya nje waliopo hawashirikishwi. Vyombo kama CNN, BBC, ALJAZEERA, REUTERS, SABC nk hivyo matukio mengi hayafahamiki nje ya nchi na wao kudhani mambo ni poa sana kama ikivyokuwa zamani.

Hata hapa ndani, mumeshindwa kuandaa vipindi hata vya kulipia katika TV venye maudhui ya kujitangaza dhamira na nini kinaendelea.

Wakati umefika muamke ili msije kuwalaza na wengine au ongezeni nguvu vitengo vyenu vya habari. Na kila tukio hakikisheni mnawawezesha waandishi wa vyonbo vya nje wahudhurie sio kuwajaza wa Uhuru ambao mnajua badala ya kujenga wataleta damage

Tulisema CDM changisha muwe na tv ya kwenu
 
Hivi Chadema kama wanashindwa kuwa na headquarters ya kisasa bado wameng'ang'ana kwenye kile kibanda cha pale Ufipa ndio wataweza kuorganise big things?

Chadema hii inayotegemea nguvu na akili binafsi za Mbowe ni ngumu kuenenda kama unavyofikiri wewe, muombeeni Mbowe afya njema ndio mtu mwenye vision pana ninayemuona mimi kwenye hicho chama.
Nadhani hizo ni fikra tuu. Mpaka hapa Chadema ilipofikia sio kazi ndogo hasa kwa mazingira ya kisiasa yalivyo.
Tatizo tunalozungumzia hapa ni kitengo cha habari kudhani vyombo vya habari vya ndani vinaweza kufanya nje ya nchi wajue ukandamizaji umefikia kiwango gani.
Wavishirikishe kwa mbinu yeyote, mfano kitendo cha juzi bungeni kingeangukia kwenye media za nje wenzetu wanaoenda kuhoji na kudadisi na wangejua hali halisi na serikali hii ingeingia kwenye orodha mbaya ya kuninya demokrasia
 
Back
Top Bottom