UKAWA: Hatujaalikwa sherehe za Muungano!

UKAWA: Hatujaalikwa sherehe za Muungano!

WEWE utakuwa unagua
ugonjwa wa pumu km sio ukichaa .....NA OLE WENU....mtajuta na UKAWA
yenu..... nadhani umeona wale wanajeshi shupavu endeleeni na utahira
wenu mtasaga na rumba

Ona hili dubwasha maskini.... Kwahiyo wewe umeambiwa wale Majeda wapo kwaajili ya UKAWA? Mwe akiri za Intarehamwe ziwehamia maliwatoni! Ni shidaa.

BACK TAMGANYIKA
 
WanaJF,

Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.

Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.

Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.

Tunakuhitaji huku https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/648194-ninalazimika-kuingia-hasara-ya-milioni-36-kwa-sababu-ya-serikali-ya-ccm.html#post9362297
 
kila kitu kinafanywa kwa wakati wake na kila jambo la kitaifa lina umuhimu vilevile.

Suala la kusema ocean road hakuna madawa sijui vifaa katika sherehe za muungano lina mahusiano gani!?

Kama ishu ni hela, kwanini usiwaambie chadema waache kubeba ruzuku ya zaidi ya millioni 300 kwa mwezi ili fedha hiyo ipelekwe ocean road?

kwani wanapokea 300ml,pili cdm ina serikali?w kweli chz kweli
 
kwahayo maneno nahisi kabisa umeyatoa mdomoni mwako na wala si akina mbowe, yani kuingia kwenye maadhimisho ndio kubadirisha msimamo wa serikali 3?
 
Asante msemaji wa UKAWA kwa taarifa nyeti
 
WanaJF,

Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.

Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.

Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.

Ukawa ndo taasisi gani
 
Kwenye utaifa usisubiri kualikwa....

Woote walokuwa uwanjani kwa sherehe walialikwa?

Hamna utaifa ukawa na c wakupewa nch nyinyi ni wa kuogopwa kama ukoma...
 
WanaJF,

Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.

Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.

Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.

Pumbafu kabisa mualikwe Ukawa ndo nani?nani anawatambua Na mko kwa sheria ipi acheni uhuni wenu Na wendawazimu
 
WanaJF,

Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.

Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.

Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.
Nilidhani ulichukuliwa na mafuriko ya Dar. Manamume kama binti. Hiyo interview ulimfanyia wapi??
 
Ukawa ni vichaa wa wehu saini za Muungano zimefojiwa halafu mnataka mwaliko kwa uhalali upi wa Muungano?Ukawa mualikwe nani anawajua kisheria?acheni Upunbafuu
 
Kwani mualiko lazima?

Kwani wao hawawezi kufanya sherehe yao?

Mbona tunapenda utamaduni wa ulalamishi?

What's next? Mtalalamika Kikwete hajawaalika kula ubwabwa wa sherehe Ikulu?
 
Hakukuwa na ubwabwa pale uwanjani ukawa wangekula nini?
 
Kwanza ajenda yenu ya kipumbafuu tumeitokomeza Umma unawashangaa,tafuteni singo nyingine
 
Back
Top Bottom