UKAWA: Hatujaalikwa sherehe za Muungano!

UKAWA: Hatujaalikwa sherehe za Muungano!

Tanzania ni moja ya nchi yenye watu wenye IQ ndogo duniani. Hatushangai wengne kuona watu kama hawa kama huyu mleta mada.
 
WaTZ wote walikuwa huru kuhudhuria sidhani kama Ukawa wana la kujitetea kwa kutopata mwaliko.Kwanza ukawa si taasisi.
 
Waalikwe kwani wao ni nani? ... si wananchi tu wa kawaida kama sisi.
Wangeenda kama wangetaka.

hilo ni jb sahihi wananchi wengi hawajaalikwa lakini mbona leo wameenda na kujaza uwanja wa taifa muungano udumu jana leo na kesho
 
WanaJF,

Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.

Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.

Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.

Source pls?....kwakuwa post zako nyingi ni za kishambenga za kumlilia Zitto na kundi Zima la wasaliti, naichukulia hii sred kama udaku mwingine kutoka kwako...
 
Utakuwa una laana kama sio ya wazazi wako basi wao walilaaniwa kabla ya kukuzaa wewe!!!!!!
Huwezi leta dhihaka kwa jambo kama hili, umewahi kuuguza mgonjwa wa muda mrefu!!!???

kwa mantiki hiyo basi Chadema wengi mtakuwa wengi mtakuwa ni ni uzao wa laana
 
WanaJF,

Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.

Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.

Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.

mkuu kumbe wewe ndo unatumia jina la Agustino Chacha kule kwenye kurunzi ya siasa. nimefurahi kukufahamu
 
WanaJF,

Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.

Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.

Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.

naona unakaribia kwenda kwenye cku zako
unatafuta bwana
mbowe ana mke wake,acha mahaba ya kij**nga
 
Kwani mualiko lazima?

Kwani wao hawawezi kufanya sherehe yao?

Mbona tunapenda utamaduni wa ulalamishi?

What's next? Mtalalamika Kikwete hajawaalika kula ubwabwa wa sherehe Ikulu?

hivi na we kumbe ni kichwa maji? ??
unajadli utumbo huu!!!au unajua tu kupinga mungu hayupo/yupo
kweli bado tuna safari ndefu kama wasomi ndo kama nyie
 
WanaJF,

Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.

Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.

Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.

Unapakatwa nini wewe
 
Hawa UKAWA sio wadau wa Muungano wa Serikali Mbili bali Serikali Tatu ambazo bado hazijazaliwa. Kwa maoni yangu hakukuwa na umaana wa kuwaalika. wasubiri siku tukiwa na serikali tatu wataalikwa,

Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.

Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.

Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.[/QUOTE]
 
Hawa UKAWA sio wadau wa Muungano wa Serikali Mbili bali Serikali Tatu ambazo bado hazijazaliwa. Kwa maoni yangu hakukuwa na umaana wa kuwaalika. wasubiri siku tukiwa na serikali tatu wataalikwa,
 
Utakuwa una laana kama sio ya wazazi wako basi wao walilaaniwa kabla ya kukuzaa wewe!!!!!!
Huwezi leta dhihaka kwa jambo kama hili, umewahi kuuguza mgonjwa wa muda mrefu!!!???
Ukawa mi..k..hdu yao ,wakafie mbali. Nuksi sana mi nasema wapigwe tu..tumechoka.
 
Wabaki na aibu zao! Wao c wanaupinga muungano? Sasa waalikwe kwa sababu zipi? Wao waendelee na uchochezi wao. Watakuwa wameviona vifaru, hizo ni salamu kwao! Hadi diamond kaalikwa, wao kapuni! Aibu ya nusu karne!
 
Hamy-D
Haya ni mahangaiko yasiyo na Tija. Kama unahitaji mwaliko njoo, tukupe Kadi, hata ya mlo wa jioni hii usipoteze muda wako bure kwenye mitandao.
WanaJF, msishangae hili ndilo jibu analostahili Hamy-D na sababu wengi mnalifahamu


WanaJF,

Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.

Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.

Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.
 
Ni ujinga yani hadi waalikwe?
Kaka, hao waalikwe kwenye muungano ambao hawautaki? Unamwalikaje mtu kwenye birthday ya mtoto ambaye mwwalikwa hataki aendelee kuishi na anafanya kila hila ili mtoto huyo afe?
 
Kwani mualiko lazima?

Kwani wao hawawezi kufanya sherehe yao?

Mbona tunapenda utamaduni wa ulalamishi?

What's next? Mtalalamika Kikwete hajawaalika kula ubwabwa wa sherehe Ikulu?
Kiranga, wasilalamike kwa nini? Wamezoea kuitwa Ikulu kudoea chai na juice sasa wanaona kimya!! Imekula kwao
 
huku jf naona recruitment imeongezeka# Naona viwavi vya kijani kila post nnayofungua#congrats!
 
Back
Top Bottom