Sawa, battery low, mimi sio siasa nahoji kutokana na mtazamo wangu sasa we nazii inakujaje. Mimi sijafurahishwa na hao ukawa kutoka bungeni kwani kumeondoa nguvu za kutetea wananchi. Sasa wametoka ndio tutapata nini si ndo mambo yatakuwa mabaya. Tupeane hoja za mantiki wala sio ushabiki. Haya wewe mjuzi wa mambo mimi si mjuzi, ni wazo langu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.