aache unafiki kwani ye hajui kuwa leo ni sherehe za muungano?vyombo vya habr vimetengaza sana kuhusu hyo shereheWanaJF,
Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.
Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.
Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.
WanaJF,
Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.
Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.
Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.
Hamy-D
Haya ni mahangaiko yasiyo na Tija. Kama unahitaji mwaliko njoo, tukupe Kadi, hata ya mlo wa jioni hii usipoteze muda wako bure kwenye mitandao.
WanaJF, msishangae hili ndilo jibu analostahili Hamy-D na sababu wengi mnalifahamu
WanaJF,
Kiongozi wa kikundi kilichoundwa ndani ya bunge maalumu la katiba (UKAWA), mhe Mbowe, ameonyesha masikitiko yake kutokana na serikali kuwanyima mwaliko wa kuhudhuria sherehe za muungano.
Mhe. Mbowe akiwa katika hali ya majonzi amesema kwamba sherehe hizo ambazo zimetokea kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi zilipaswa kuhudhuriwa na UKAWA kwa kuwa na wao ni sehemu ya wadau wa muungano wetu.
Aidha, mhe.Mbowe amekiri kuwa yeye pamoja na wenzake wanaounda kikundi hicho cha UKAWA walitamani sana kujumuika na viongozi wa kitaifa katika sherehe hizo kwa kuwa zimefanywa kiustadi mkubwa na hakika zinaweza kuwabadili msimamo juu ya muungano wetu.
Hamy-D
Haya ni mahangaiko yasiyo na Tija. Kama unahitaji mwaliko njoo, tukupe Kadi, hata ya mlo wa jioni hii usipoteze muda wako bure kwenye mitandao.
WanaJF, msishangae hili ndilo jibu analostahili Hamy-D na sababu wengi mnalifahamu
walialikwa wakamtuma seif shariff, jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza!
Wanautambua? Si wanasema hati imegushiwa?
ebu acha kupumbaza watu! UKAWA ni wajumbe wa bunge maalum la katiba, na wajumbe wa bunge maalum la katiba walikua na sehemu yao mahususi pale uwanjani, sasa inawezekana vipi wakalalamika kuhusu kualikwa? its automatic kwamba walikuwa part ya ceremonies, kama hawajaenda ni kwa maamuz yao tu. ....ila sikushangai mtoa post maana Tanzania ni miongon mwa nchi kumi za mwisho Africa whose population has the lowest IQ, bila shaka ulikuwa kwenye sampuli za utafiti huo
Ukawa waalikwe kama nani wao, wamesajiliwa kwa sheria gani? Kwanza hata kwenye bunge maalum vilevile hakuna sheria wala kanuni inayowatambuwa.
Hamy-D
Haya ni mahangaiko yasiyo na Tija. Kama unahitaji mwaliko njoo, tukupe Kadi, hata ya mlo wa jioni hii usipoteze muda wako bure kwenye mitandao.
WanaJF, msishangae hili ndilo jibu analostahili Hamy-D na sababu wengi mnalifahamu
Hatuwataki wanafki wakubwa hao
Serkali mbili zatosha
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
kwa mantiki hiyo basi Chadema wengi mtakuwa wengi mtakuwa ni ni uzao wa laana
UKAWA inapaswa kushtakiwa kwa kuwa inafanya shughuli zake bila usajili kisheria. Haina tofauti na DECI