BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,913
Ogah huu ujumbe kwa JK nadhani umefika . Kuna wana mtandao hapa ni vyema kuwa mnatoboa habari hizi jamani .Mwaka 2010 tutazitumia kujenga hoja dhidi ya CCM tukiwa kama wananchi na kumtaka JK kujib tuhuma. Mimi nakubaliana na waliosema kwamba JK na uongozi wake ni mazingaombwe maana wananchi wanaona juu lakini ndani uchafu mwingi sana .JK najitahidi sana kupaka rangi nyeupe jengo kwa nje lakini ndani ni harufu . Ogah mwaga kila kitu hapa kwa undani tupate faida tafadhali .
Kwani kodi TRA inazokusanya ni za serikali ni ya chadema au ccm?Bajeti na vipau mbele vya nchi anayepanga ni chadema au ccm?