Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,670
- 40,917
Hili jambo linasikitisha sana nakatiza mtaani hapa namkuta huyu dada mwendawazimu ni mjamzito kabisa tena inavyoonekana anakaribia kujifungua maana ujauzito wake ni mkubwa kabisa. Jamani tupunguze tamaa ya ngono huu ni unyanyasaji mkubwa kwa watu wa aina hii.
- You can imagine akipata uchungu nani yupo karibu yake amsaidie?
- Atajua hata kuwa anakaribia kujifungua?
- Atajua hata kuwa mtoto anahitaji kunyonya?