bandubandu
Senior Member
- Dec 19, 2010
- 102
- 28
Wanajanvi hili la ukahaba linafanyika ktk namna nyingi sna,siyo tu vichochoroni peke tembelea kinondoni ujionee mwenyewe sehemu wanazofanya body massage humo huduma zote zinapatikana
Wanajanvi hili la ukahaba linafanyika ktk namna nyingi sna,siyo tu vichochoroni peke tembelea kinondoni ujionee mwenyewe sehemu wanazofanya body massage humo huduma zote zinapatikana
Inaelekea unanufaika na biashara hii!Ungekuwa mwanamke,inaelekea ungejiunga!Kumbe humu JF kuna MATABULARASA!
Hivyo UKAHABA uachwe uendelee mchanJa kweupe ili maandiko yatimie?[/QUOT E]
hao wahaya wameanza cku nyng kujiuza na ukahaba sio dar pekee upo kila sehmu cha msng waanze kulpa kod kama mbele we unfkil bible iandike ukahaba na makadba wasiwepo utaenda tena church?
MKUU UMESEMA WAHAYA????!!
Nimecheka sana kuhusu hiyo ya wahaya...nasikia enzi hizo watu walikuwa wanapanga foleni na kula uroda huku wamevaa viatu....nasikia kama mtu akitaka kuvua viatu , yule mama wa kihaya aliuliza ..'kwani unarara hapa hapa' .MKUU UMESEMA WAHAYA????!!
temeke ukitoa sudani nasikia tandika wapo nikitaa ganiHawa makahaba wameniokolea ndoa yangu sana. Ningekuwa nimeshatafuta nyumba ndogo.
Binafsi nawaheshimu kwa hii huduma muhimu wanayoitoa kwa jamii.
Wanaipenda kazi yao maisha magumu jombaa kama vp inakuuma xana kajiue au wape kazi!!!!
Hivi mambo kama haya nayo serikali inapaswa kuhangaika nayo? kama ninhyin wateja mkikataa hii biashara, nani ataendelea kuiuza? Mnataka serikali ije iwalazimishe msiende kwa makahaba? Hilo ni suala la ninyi wenyewe kuamua tu, si mpaka serikali. Acheni serikali ifanye mambo mengine muhimu, hili la kukataa ukahaba ni ninyi wenyewe jukumu lenu
Inasikitisha na kuhuzunisha pale unapowaona kina Dada pamoja na kina Mama wakiwa wamejianika mithili ya nguo za mitumba mtaa wa Kongo wakijiuza kwa bei chee!Katika mtaa huu kuna eneo ambalo wanawake hawa wamekodisha vyumba kwa ajili ya biashara hii yenye kutweza na kushusha hadhi ya mwanamke!Vyumba hivi vinajitegemea kwa kuwa na milango ya nje ili kurahisisha "wateja" kuingia na kutoka bila bughudha kutoka kwa wakazi wa nyumba hizo!
Wanawake hawa bila aibu huvaa nguo fupi na kujichanua katika milango ya vyumba vyao kusubiri "wateja" wanaomiminika kwa wingi kuanzia saa moja usiku!
Muda wa mchana hali ni shwari na huwezi kujua kama kuna "biashara" chafu inafanyika katika eneo hili!
Wenye nyumba hizi kwa tamaa ya kupata fedha wanawapangisha "AKINA MAMA POA" hawa wafanye ukahaba bila kificho!
Ukahaba katika Tanzania hauruhusiwi,mamlaka husika zipo zinafumba macho kana kwamba hazioni,kuna serikali ya mtaa,kata,wilaya mpaka manispaa ya Temeke!TAMWA mnafahamu kwamba wanawake wenzenu wanajiuza kama nyama buchani pale Temeke!!Kamanda kova take this for further action kama ilivyokuwa kule "HYENA SQUARE" ambapo hali imerudi kama zamani baada ya kusambaratishwa kwa kipindi kifupi!
AKINA MAMA POA HAWA WAMETHUBUTU KUFANYA UKAHABA,WAMEWEZA NA SASA WANASONGA MBELE 2012!