Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Naona wewe maisha ya chuo hujayajua vizuri, chuo unapigika unakosa hadi sabuni wakati boom hujui linaingia mwezi gani!
 
Tukihalalisha hii biashara tutakua na faida nyingi kushinda hasara;

1: Kodi itaongezeka.

2: Ukatili wa kijinsia utapungua, wadada wanaojiuza hua wanashindwa kwenda polisi kuripoti matukio ya unyanyasaji wakiwa katika kuwajibika.

3: Tendo litatendwa katika mazingira salama, afya ya mteja itazingatiwa zaidi.

4: Nafasi za ajira zitaongezeka.

Hasara

1: Kuonekana umepotoka kimaadili.

Naona hasara hii tu, ila kadri muda utakavyoenda hata hii itapotea.
 
Cc:Nshonzi
 
Kikubwa ni kuongeza wigo wa kodi
 
Naona wewe maisha ya chuo hujayajua vizuri, chuo unapigika unakosa hadi sabuni wakati boom hujui linaingia mwezi gani!
Sema utamu Wa hii biashara wauzaji wanapiga dabodabo. Kwanza anapata pesa Pili anafaidi utamu[emoji39] akikutana na MTU anayejua majukumu yake vema,
Wakati Hugo mfanyakazi mshahara wake mnono anaweza akapitisha miezi kadhaa bila kugegeduliwa.!!
 
Hivi kwa nini mtu akizungumzia ukahaba huwalenga wanawake wanaojiuza? Mbona hamzungumzii wanaume wanaonunua? Na, je, mtu hawezi kuwa kahaba hadi ajiuze?
 
Asante kwa taarifa, nitapita moro usiku nijionee ze utamus.
 
huduma bora sana hii ya fasta fasta..
ukipata tu, huna wasiwasi wa kukerwa na simu, mizinga, vibomu wala matumiza makubwa ya pesa..
Ebu tuangalie na kuwianisha hapa kama ukichukua malaya na mtoto wa geti/home/mwanafunzi/mfanyakazi mwenzio.
1. Mtoto wa geti/home/mwanafunzi/mfanyakazi mwenzio hadi ugegede itakupasa utumie si chini ya 40,000/= kwa siku moja kama ifuatavyo
a. uweke vocha, umpigie ili muweke apointment, hapa utatumia =1,000.
b. upande daladala umfuate, ukitumia mwendokasi 650*2 =1,300
c. uende nae sehemu mnywe ata bia tatu tatu za kuanzia 2,500*2*3 =15,000
d. bado hatujashushia na mapande au ata mishikak 4,000*2 =8,000
e. maji ya kunywa, kwa kujibana unanunua k/njaro kubwa 1 = 1,500
f. asa muda wa mgegedo wenyewe chumba bei rahis 15,000 = 15,000
g. muda wa mgegedo umeisha utafumba macho tax unampa 5,000 = 5,000
jumla = 46,800

2. uikienda kwa malaya sasa...
a. daladala kuwafuata waliko 650*2 = 1,300
b. malipo yao tu maana tayar wanasehem zao = 2,000
jumla = 3,300

kwa mantiki hiyo basi, kumgegeda malaya utakua umesave hela nyingi karibia 43,500 kwa kwenda kwa hivi vitoto vya chuo, nyumbania au wafanyakazi enzako.
kwa hako kautafiti kadogo, nnapata jeuri ya kusema gegeda sana malaya okoa pesa
NAWASILISHA....!!!
 
Daaaaaah
Ngoja nkashuhidie mwenyewe
 
Uko sahihi sana.!!!
Hivi umewahi waza unamla denda mwanamke uliekutana nae labda miezi tu kadhaa.labda baada ya kujifanya unampenda sana. Lakini hujui kuwa ana ugonjwa Wa kutoka damu mwenye fizi au meno..!!!
Halafu unajifanya umevaa kondom.

Its safe and simple to deal with these sexual workers than hawa tunaowaita sijui demu wangu sijui upuuzi gani
Kama una genye zako nenda kamata demu piga mzigo lipa kisha unasepa

Sio unajitia ufundi ukitoka hapo mashaka tele, kwanza umepigwa hela , sijui ya simu, sijui vocha, Mara hela ya chumba, mara usafiri..
Mwanamke salama maishani ni "Malaya" tu peke yake.!
Wengine wote majanga tu.
 
haaaa haaa mkuu nmecheka kwa sauti..
eti demu wangu, miezi mitatu aaaah tunaaminiana ndomu tupa kule makavu live bila chenga.
malaya hata siku moja hutamgegeda bila ndom, wala kujifanya fundi eti denda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…