FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Hahahahhahahaha kama sie tunaopenda pilipili mie hata uniambie nini kuhusu madhara ya kula pilipili sielewi..sawa na kua unampigia mbuzi gita
Pilipili haina madhara bali ina faida nyingi sana na mojawapo kubwa mwilini hiyo "early warning system", mfano, ukiwa na matatizo ya tumbo ukila pilipili inakujulisha kuwa tumbo lako haliko sawa, halikadhalika kwa kifua, moyo, kichwa na vinginevyo.
Kula pilipili kwa wingi. Mimi hata vitumbua nakula na chatni ya nazi kwa pilipili.