Bora pasha kiwe cha moto
Mkuu nimekuelewa......Asante sana kwa ushauri na utekelezaji unaanza hapa nilipo!!
Bora pasha kiwe cha moto
Mkuu nimekuelewa......Asante sana kwa ushauri na utekelezaji unaanza hapa nilipo!!
Hio party iwapi mbona yanipita heeee
walevi ndio wanaendesha nchi kwa kodi wanayolipa through drinking.. We hushangai budget ya nchi kila mwaka vinywaji vinapaa bei
Haya ngoja nikafungue begi la nguo za mtoko!Bi shosti ipo apaa aya fanya fanya ujipodoe ujee
Haya ngoja nikafungue begi la nguo za mtoko!
Ngoja nimuite.. BAK uko wapi tunataka kuserebuka huku tukoshe nafsi zetu!!DJ sijui ata kaenda wapi tena....
DJ Kachelewa party imedoda!DJ sijui ata kaenda wapi tena....
DJ Kachelewa party imedoda!
Hawata acha hata kidogo si unajuwa Pombe ina utejakwa watumiaji.
Weka vitu shosti siku isipite bure bure