Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,273
- 219,511
He is right...He is true!
Mno !
This nigga is a real GanstarSugu akizungumza kwenye hafla ya kuuaga mwili wa Mzee Mwinyi kwenye Uwanja wa Uhuru (shamba la Bibi) , kabla ya kupelekwa kwao Zanzibar kwa mazishi , amemmwagia sifa Mwinyi kwamba ndiye aliyesaidia kukomesha vijana kutoswa baharini kwa kuzamia meli walipotaka kwenda Ulaya.
Kwamba Baada ya Mwinyi kuchukua madaraka akarahisisha njia za waliotaka kwenda Ulaya , badala ya kuzamia walianza kuomba Viza , utaratibu ambao awali ulikuwa kama siri ya viongozi na watoto wao .
View attachment 2921727
Leo alivaa vito vya thamani ganiSugu akizungumza kwenye hafla ya kuuaga mwili wa Mzee Mwinyi kwenye Uwanja wa Uhuru (shamba la Bibi) , kabla ya kupelekwa kwao Zanzibar kwa mazishi , amemmwagia sifa Mwinyi kwamba ndiye aliyesaidia kukomesha vijana kutoswa baharini kwa kuzamia meli walipotaka kwenda Ulaya.
Kwamba Baada ya Mwinyi kuchukua madaraka akarahisisha njia za waliotaka kwenda Ulaya , badala ya kuzamia walianza kuomba Viza , utaratibu ambao awali ulikuwa kama siri ya viongozi na watoto wao .
View attachment 2921727
Ngoja tupige hesabuLeo alivaa vito vya thamani gani
unamkumbuka Ngapulila ?