Mazishi ya Mzee Ally Hassan Mwinyi kufanyika Unguja: Je, wosia wake umezingatiwa?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,889
Minong'ono ya chini kwa chini inasema katika wosia wake Mzee Mwinyi alitaka akazikwe Mkuranga nchini Tanganyika wazazi wake walipolala na si nchini Zanzibar alikoenda kama mhamiaji kwa mahitaji ya kisasa miaka hiyo

Wiki chache zilizopita kulikuwa na harakati nyingi huko wilayani Mkuranga hasa harakati za matengenezo ya barabara na redio mbao zikabashiri kama maandalizi ya tukio kubwa siku za usoni huku wengine wakisema kwa sauti za chini kwamba ni maandalizi ya mazishi ya Mzee Mwinyi

Baada ya hapo inasemekana ukatokea mkanganyiko mkubwa ama mgogoro kati ya ndugu na wanasiasa wa upande zote mbili za muunganiko wa Tanganyika na Zanzibar

Kuna kundi lilisisitiza ufuatwe wasia wa marehemu kutoka kulazwa pembeni ya wazazi wake huko wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani nchini Tanganyika na kuna kundi lingine kwa sababu za kisasa likitaka marehemu akazikwe nchini Zanzibar Unguja
Inasemekana mgogoro huo uliendelea hadi kundi la pili liliposhinda ndio uamuzi wa kutangaza tanzia ulipotolewa

Haya ni maneno yasiyothibitishwa popote na yeyote lakini kama ni kweli.

Nasisitiza kama ni kweli marehemu ataenda kuzikwa mahali kinyume na wosia wake.. Matatizo makubwa yanaweza kujitokeza

Tamshi la mwanadamu kiroho halina nguvu sana mpaka mhusika anapogeuka mfu baada ya roho kuuacha mwili.. Roho iachapo mwili huwa huru isiyo na mapaka ya kibinadamu na utashi wake! Na hii ndio hubeba matamshi ya wosia laana ama baraka za marehemu na kuzitekeleza katika ukamilifu wake!

Watani zangu Wachaga ni mashuhuda wazuri kwenye hili! Hivyo wanasiasa wamakinike mno na hili lisije kuleta mengine yasiyotarajiwa

Pumzika kwa amani mzee Ruksa
IMG-20240229-WA0067.jpg
 
Kauli ya marehem tena mwenye umri mkubwa kama huyo lazima izingatiwe.

Usikute alikufa siku nyingi wakaamua kuwa kimya kuondoa mapungufu hapo mkuranga.

Mambo ya siasa sijui Zanzibar mara Tanganyika itakuweje wayaache mara 1 la sivyo tusijelaumiana.

Sijui Nyerere ilikuweje kwenye huu muungano tunatawaliwa na asiye wa huku wa huku anatawala kwingine (watanzania kuwatawala ni rahisi sana) acha mambo yawe wazi mapema kabla katiba haijaandikwa ili ikiandikwa mapungufu kama haya yasijejirudia!

Pumzika kwa amani mzee!
 
Minong'ono ya chini kwa chini inasema katika wosia wake Mzee Mwinyi alitaka akazikwe Mkuranga nchini Tanganyika wazazi wake walipolala na si nchini Zanzibar alikoenda kama mhamiaji kwa mahitaji ya kisasa miaka hiyo

Wiki chache zilizopita kulikuwa na harakati nyingi huko wilayani Mkuranga hasa harakati za matengenezo ya barabara na redio mbao zikabashiri kama maandalizi ya tukio kubwa siku za usoni huku wengine wakisema kwa sauti za chini kwamba ni maandalizi ya mazishi ya Mzee Mwinyi

Baada ya hapo inasemekana ukatokea mkanganyiko mkubwa ama mgogoro kati ya ndugu na wanasiasa wa upande zote mbili za muunganiko wa Tanganyika na Zanzibar

Kuna kundi lilisisitiza ufuatwe wasia wa marehemu kutoka kulazwa pembeni ya wazazi wake huko wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani nchini Tanganyika na kuna kundi lingine kwa sababu za kisasa likitaka marehemu akazikwe nchini Zanzibar Unguja
Inasemekana mgogoro huo uliendelea hadi kundi la pili liliposhinda ndio uamuzi wa kutangaza tanzia ulipotolewa

Haya ni maneno yasiyothibitishwa popote na yeyote lakini kama ni kweli.

Nasisitiza kama ni kweli marehemu ataenda kuzikwa mahali kinyume na wosia wake.. Matatizo makubwa yanaweza kujitokeza

Tamshi la mwanadamu kiroho halina nguvu sana mpaka mhusika anapogeuka mfu baada ya roho kuuacha mwili.. Roho iachapo mwili huwa huru isiyo na mapaka ya kibinadamu na utashi wake! Na hii ndio hubeba matamshi ya wosia laana ama baraka za marehemu na kuzitekeleza katika ukamilifu wake!

Watani zangu Wachaga ni mashuhuda wazuri kwenye hili! Hivyo wanasiasa wamakinike mno na hili lisije kuleta mengine yasiyotarajiwa

Pumzika kwa amani mzee RuksaView attachment 2920608
Anaweza kuzikwa unguja mbele ya kamera off camera akazikwa mkuranga kila kitu ni kama!
 
Minong'ono ya chini kwa chini inasema katika wosia wake Mzee Mwinyi alitaka akazikwe Mkuranga nchini Tanganyika wazazi wake walipolala na si nchini Zanzibar alikoenda kama mhamiaji kwa mahitaji ya kisasa miaka hiyo

Wiki chache zilizopita kulikuwa na harakati nyingi huko wilayani Mkuranga hasa harakati za matengenezo ya barabara na redio mbao zikabashiri kama maandalizi ya tukio kubwa siku za usoni huku wengine wakisema kwa sauti za chini kwamba ni maandalizi ya mazishi ya Mzee Mwinyi

Baada ya hapo inasemekana ukatokea mkanganyiko mkubwa ama mgogoro kati ya ndugu na wanasiasa wa upande zote mbili za muunganiko wa Tanganyika na Zanzibar

Kuna kundi lilisisitiza ufuatwe wasia wa marehemu kutoka kulazwa pembeni ya wazazi wake huko wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani nchini Tanganyika na kuna kundi lingine kwa sababu za kisasa likitaka marehemu akazikwe nchini Zanzibar Unguja
Inasemekana mgogoro huo uliendelea hadi kundi la pili liliposhinda ndio uamuzi wa kutangaza tanzia ulipotolewa

Haya ni maneno yasiyothibitishwa popote na yeyote lakini kama ni kweli.

Nasisitiza kama ni kweli marehemu ataenda kuzikwa mahali kinyume na wosia wake.. Matatizo makubwa yanaweza kujitokeza

Tamshi la mwanadamu kiroho halina nguvu sana mpaka mhusika anapogeuka mfu baada ya roho kuuacha mwili.. Roho iachapo mwili huwa huru isiyo na mapaka ya kibinadamu na utashi wake! Na hii ndio hubeba matamshi ya wosia laana ama baraka za marehemu na kuzitekeleza katika ukamilifu wake!

Watani zangu Wachaga ni mashuhuda wazuri kwenye hili! Hivyo wanasiasa wamakinike mno na hili lisije kuleta mengine yasiyotarajiwa

Pumzika kwa amani mzee RuksaView attachment 2920608
"Mwinyi was born on 8 May 1925 in the village of Kivure, Pwani Region, where he was also raised.[4] He then moved to Zanzibar and got his primary education at Mangapwani Primary School in Mangapwani, Zanzibar West Region. Mwinyi then attended Mikindani Dole Secondary School in Dole, Zanzibar West Region.[5] From 1945 to 1964 he worked successively as a tutor, teacher, and head teacher at various schools before deciding to enter national politics".
 
"Mwinyi was born on 8 May 1925 in the village of Kivure, Pwani Region, where he was also raised.[4] He then moved to Zanzibar and got his primary education at Mangapwani Primary School in Mangapwani, Zanzibar West Region. Mwinyi then attended Mikindani Dole Secondary School in Dole, Zanzibar West Region.[5] From 1945 to 1964 he worked successively as a tutor, teacher, and head teacher at various schools before deciding to enter national politics".
Mama Sitti Mwinyi anasema Mme wake Rais mstaafu All Hassan Mwinyi azikwe Mkuranga Kama alivyoagiza kwenye maagizo yake! Azikwe karibu na kaburi la baba yake
20240229_221806.jpg
 
Back
Top Bottom