"Baba Padri (Chesco Msaga) nakushukuru sana kwa kunisaidia uniombee nimalize na mimi kipindi changu, kwa wale wanaotaka niondoke leo labda nikifa leo, lakini kama bado niko hai bado nina mwaka na nusu" Dr. Kitima.
"Kwahiyo uniombee nimalize vizuri kadri ya mpango wa Mungu tufanye kazi ya Yesu bila kumsaliti, Mungu wetu ni mmoja na maaskofu wetu wanawahubiria watu wote neno la Mungu kwa sababu tuna Mungu mmoja na mkombozi mmoja wa wanadamu anaitwa Yesu" Padri Charles Kitima.
"Kwahiyo uniombee nimalize vizuri kadri ya mpango wa Mungu tufanye kazi ya Yesu bila kumsaliti, Mungu wetu ni mmoja na maaskofu wetu wanawahubiria watu wote neno la Mungu kwa sababu tuna Mungu mmoja na mkombozi mmoja wa wanadamu anaitwa Yesu" Padri Charles Kitima.