Ibn Ayoub
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 2,236
- 3,074
Wewe ndio unaeona kajikomoa ila yeye kaamuwa kuwa mwalimu kwa vitendo wa kuiambia Dunia kuwa bila ya Monika maisha hayana samaniYeye kafa na mpenzi wake kawa mke wa mtu, kajikomoa mwenyewe.
Wewe ndio unaeona kajikomoa ila yeye kaamuwa kuwa mwalimu kwa vitendo wa kuiambia Dunia kuwa bila ya Monika maisha hayana samaniYeye kafa na mpenzi wake kawa mke wa mtu, kajikomoa mwenyewe.
Kisha akishaipata hiyo pesa afanyie nini na yeye shida yake ni Monika ambae alishawahi kumnyandua akiwa hata hana pesa. Kuna watu wanapesa lakini hawapati hitajiobla moyo wao. Pesa sio ndio kila kituKwani yee ndo mtu wa kuachwa
Anashindwa akomae kutafta pesa analilia mademu
demu ameolewa mda sana anashindwa ku move on!
Kwa kawaida akili ya mtu kwa mtu mwingine na sawa tu Imani ya mtu kwa mtu mwingine kila mmoja anamuona mwenye Imani tofauti na yeye anatakiwa kuxhunguzwa Afya ya akil yakeNaamini afya ya akili ya huyo kijana ilikuwa na dosari.
Unaingiaje deep na mke wa mtu?
Wajinga ndo watakao amini. Mtu atajiuaje sababu ya mke wa mtu. Polisi wachunguze hili tukio kama kweli limetokea..na wao wasiishie kuaminishwa vitu kirahisi rahisi tu hiviHivi hii inshu ni kweli au tunapangwa?
Ningekua na namba zako za whatsapp ningekutumia ujionee mwenyewe as alianza kupost video zake alipokua dubai kwenye honeymoon then akapost wimbo wa mapenzi yanauma w harmonize akapost anaaga anasema kwaherini ya mwisho ndo hilo gazeti la monicaStatus inakaa maneno mengi hivyo? Then balimaanisha nini aliposema hataki aone mitandaoni
Aliwaza kuhusu Wazazi wake na akawaomba radhi ndiyo akijilipua!!Marehemu ni Fara Ameshindwa Kuwaza Kuhusu Wazazi Wake na Familia Take
Maamuzi Ya Kisenge na Udhaifu wa Hali Ya Juu..
Du ...hapa nimetoka kapa!Kwa kawaida akili ya mtu kwa mtu mwingine na sawa tu Imani ya mtu kwa mtu mwingine kila mmoja anamuona mwenye Imani tofauti na yeye anatakiwa kuxhunguzwa Afya ya akil yake
Mara kadhaa tumeshauriwa Kuchunguza wake zetu mienendo yao, Hali sio nzuri kila sehemu watu wanagegedana sio mchezo. Chini hapa ni ujumbe wa kijana aliyekua anatoka kimapenzi na bibie monica ambae ni mke wa Masanja;
"...UJUMBE wangu wa Mwisho kwako MONICA
Asante Kwa kunipenda Kipindi chote hakika umenipa Upendo ambao umeacha alama moyoni mwangu ambao kila nikijaribu kuifuta nimeshindwa sioni upendo wako wa Mwanzo hivyo nimebaki Kuumia MOYONI kwa kukosa
REAL LOVE FROM YOU. MONICA Ulinipenda sana na Kuniahidi kutoniacha siku zote na Ahadi zako nilizipokea MOYONI Nami Kukuahidi Kukupenda sana na hii ndo INANIUMIZA SANA MONICA Asante kwa PENZI LAKO ambalo halijawahi kutoka MOYONI MWANGU SIONI TENA HAJA YA KUISHI KWENYE HII DUNIA
BILA PENZI LAKO NASEMA SIWEZI
MONICA SAMAHANI kwa MAAMUZI nitakayo yafanya NAJUA uamini kama naweza kufanya hivi kwa sababu ya PENZI Lako BUT NAOMBA upelewe kua umefanya nione THAMANI YA MAPENZI katika huu ULIMWENGU kupitia wewe so SIWEZI KUISHI BILA PENZI LAKO,
SIONI TENA MAANA YA MAISHA . MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.
Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU . Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.
MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT Bye KIOSHO.
KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.
Wewe sio Masanja?1. Jamaa ni mjinga sana kujiua.
Yani Marehemu ni mpumbavu sana.
2. Eti kujiua kwa sababu alikuwa anatembea na mke wa Masanja ni uongo sana.
Yani wametegea huyo bwege amejiua ndio waanze kuzusha.
TAZANIA INA WAJINGA WENGI SANA.
yan ukitaka kujua nundu zilizokuwepo ni hatari angalia nlivyoandika kimawenge, mkuu we acha kbsa yani...
Jamaa angejiua bila kuacha ujumbe wa maandishi! Sasa kamuachia msala huyo kipenzi chake Monica. Tusishangae nacho KIKIJIUA!Monica kamwaga ugari kwa kosho ndipo kosho akaamua amwage mboga ikiwa mbai na iwe
Nimecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣Halitapita, tutaliundia Uzi Kila siku