Mkuu hebu usinichoshe kuhangaika kutafuta andiko ambalo halipo hakuna andiko linalomruhusu mwanaume kumsaliti mkewe wala kuoa mke zaidi ya mmoja ila nimeshakwambia kuna maandiko yamekataza uzinzi bila kuspecify jinsiaInasema usizini hebu km una Bibilia hapo nenda mwisho wa Biblia yako kwenye tafsiri ya maneno uone hilo neno kwenye Biblia lina maanisha nini na nani walikuwa wanahusika nalo kati ya wanaume na wanawake.!! Halafu utarudi kuniambia..
Amri ya 9. Usitamani mwanamke asie mke wakoMkuu hebu usinichoshe kuhangaika kutafuta andiko ambalo halipo hakuna andiko linalomruhusu mwanaume kumsaliti mkewe wala kuoa mke zaidi ya mmoja ila nimeshakwambia kuna maandiko yamekataza uzinzi bila kuspecify jinsia
Mfano kuna hilo la usizini kuna andiko linasema ndoa na iheshimiwe na watu wote wazinzi na waasherati Mungu atawahukumia adhabu kuna andiko linasema usitamani mke wa jirani yako tena hiyo ni amri na kuna andiko linasema aziniye na mwanamke hana akili tena hapo kwenye hayo maandiko mawili ya mwisho ndo nimekufunga kabisa maana hapo anayeongelewa ni mwanaume
Ukitumia hii style ataacha roho itamsuta hata mimi ningeacha kabsaaNampa condom atembee nazo
Nakua sponsor wa zoezi
Sijamanisha mwanaume achepuke no! ,mwanaume akichepuka ni utasi wake mwenyewe wapo wengi walioa wanajiheshimu na wanachukulia kuchepuka Kama dhambi kubwa na wanaheshimu ndoa zao, alafu kitendo Cha mwanamke kuchepuka kwa gia ya mwanaume anachepuka hapo ndoa itakuwa mtaro wa dampo linalozoa kila uchafu.Kwahiyo mwanamke akichepuka ndo familia itakuwa ya hovyo ila mwanaume akichepuka familia inakuwa bora?
Habari MMU
Naomba niwape ujumbe nilioutafakari kwa kipindi kirefu,mimi sijaolewa kwa maana hio sijui ndoa ila ntawashauri wanaume mliooa wenye ndoa zenu.
Wanaume mna hii mentality kuwa huwezi kukaa na mwanamke mmoja, lazima uchepuke !
Umeanza kuchepuka mtoto wa watu anakupenda anaamini utatulia anakufanyia kila kitu chako kama kakuzaa,anakuzalia na watoto anawalea kama unamlipa. Wewe kazi yako kubwa ulioiona ni kujilisha upepo wa kucheat!
Haya basi mtoto watu kakaa kaona isiwe tabu mme wangu labda ndo nature yenu kucheat "my hubby Cheat in peace" basi unajiona ndo umeshinda kombe unabadili wadada kila siku dharau nyumbani.
Ngoja niwaambie kitu wanaume ,mwanamke akishakuacha u cheat in peace kwanza kashakuona wewe ni mpumbavu. Hata kama una miaka 50 wewe utabaki kuwa mpumbavu mbele yake!usijidanganye "mwanamke wangu ata hanifatilii yanii nna raha kweli"
Mynigga hakufatilii kwasababu hawezi kuhangaisha akili yake kwa ajili ya "mpumbavu"
Na wewe kuacha hawara zako wampande mkeo kichwani ni Upumbavu XXL.
Haicost kitu kuambia mpango wa kando nna mke mapenzi yetu yawe na mipaka, usinipigie masimu ovyo ovyo usinitumie masms huwezi kushindana na mtu anaenilea kwa kila kitu!
Ukiona unachepuka na mwanamke anaeshindwa kuyaelewa hayo muache tu mbona wamejaa sana ambao watakubaliana na term zako ili mjilishe upepo vizuri.
Lingine my nigga's wanawake wa sikuizi wanaroga,mtarogwa msahau future zenu na wake zenu/watoto/familia zenu!
Wewe chekelea kujilisha upepo na akina mwajuma wa buza kumbe unarogwa na wewe unachekelea.
Hakuna mwanamke kama mke wako,wewe jilishe upepo weeeh kwa mama fulani utarudi siku moja,jifunzeni kutofautisha kati ya An empress na concubine,Weka mpaka kati ya Hawara na Mke wa ndoa.
NB: Hii ni kwa wanaume waliooa wanawake wanaojielewa,wanaotimiza wajibu wote.
Wanawake mlioolewa na tabia zenu mbofu mbofu sina la kuwatetea.
Hii comment yake imenichekesha sana[emoji3][emoji3][emoji3] watu wamejidhatiti sasa utakutana na mtu nae mwanga ndo utakapokoma.
Wakiambiwa K zingine zina meno hawaelewi
KumbeHaya unadhani yanaelewaga kwani
Mie nakuelewa na nili comment kwa niaba ya wanaume wanaochepuka ila mimi nikioa sitachepuka kamweHaya unadhani yanaelewaga kwani
Haha kama vile kuna mtu mume wake kachepuka haha
Man will be a man tu
Binadamu naye ni mnyama, halafhu haja zetu hazina mahusiano na ushauri wenu
unafaa kuwa mke una sifa stahikiHabari MMU
Naomba niwape ujumbe nilioutafakari kwa kipindi kirefu,mimi sijaolewa kwa maana hio sijui ndoa ila ntawashauri wanaume mliooa wenye ndoa zenu.
Wanaume mna hii mentality kuwa huwezi kukaa na mwanamke mmoja, lazima uchepuke !
Umeanza kuchepuka mtoto wa watu anakupenda anaamini utatulia anakufanyia kila kitu chako kama kakuzaa,anakuzalia na watoto anawalea kama unamlipa. Wewe kazi yako kubwa ulioiona ni kujilisha upepo wa kucheat!
Haya basi mtoto watu kakaa kaona isiwe tabu mme wangu labda ndo nature yenu kucheat "my hubby Cheat in peace" basi unajiona ndo umeshinda kombe unabadili wadada kila siku dharau nyumbani.
Ngoja niwaambie kitu wanaume ,mwanamke akishakuacha u cheat in peace kwanza kashakuona wewe ni mpumbavu. Hata kama una miaka 50 wewe utabaki kuwa mpumbavu mbele yake!usijidanganye "mwanamke wangu ata hanifatilii yanii nna raha kweli"
Mynigga hakufatilii kwasababu hawezi kuhangaisha akili yake kwa ajili ya "mpumbavu"
Na wewe kuacha hawara zako wampande mkeo kichwani ni Upumbavu XXL.
Haicost kitu kuambia mpango wa kando nna mke mapenzi yetu yawe na mipaka, usinipigie masimu ovyo ovyo usinitumie masms huwezi kushindana na mtu anaenilea kwa kila kitu!
Ukiona unachepuka na mwanamke anaeshindwa kuyaelewa hayo muache tu mbona wamejaa sana ambao watakubaliana na term zako ili mjilishe upepo vizuri.
Lingine my nigga's wanawake wa sikuizi wanaroga,mtarogwa msahau future zenu na wake zenu/watoto/familia zenu!
Wewe chekelea kujilisha upepo na akina mwajuma wa buza kumbe unarogwa na wewe unachekelea.
Hakuna mwanamke kama mke wako,wewe jilishe upepo weeeh kwa mama fulani utarudi siku moja,jifunzeni kutofautisha kati ya An empress na concubine,Weka mpaka kati ya Hawara na Mke wa ndoa.
NB: Hii ni kwa wanaume waliooa wanawake wanaojielewa,wanaotimiza wajibu wote.
Wanawake mlioolewa na tabia zenu mbofu mbofu sina la kuwatetea.
Mkuu siyo kila binadamu alikuja duniani kutimiziwa mahitaji yake yote ingekuwa hivyo basi kusingekuwa na watu masikini Mungu anangemfanya kila mtu awe tajiri ili awe na maisha mazuri sababu hakuna mtu anayependa maisha mabayaAnaponea wapi kama sio kudanga...
Kuna mtu anaweza kukaa miaka na miaka bila kunywela sidbani
Anyway huhitaji mtoto?
SawaSijamanisha mwanaume achepuke no! ,mwanaume akichepuka ni utasi wake mwenyewe wapo wengi walioa wanajiheshimu na wanachukulia kuchepuka Kama dhambi kubwa na wanaheshimu ndoa zao, alafu kitendo Cha mwanamke kuchepuka kwa gia ya mwanaume anachepuka hapo ndoa itakuwa mtaro wa dampo linalozoa kila uchafu.
MmhhMie nakuelewa na nili comment kwa niaba ya wanaume wanaochepuka ila mimi nikioa sitachepuka kamwe
Hakuna jipya vyote ni vile vile utamu ni ule ule tu
Exactly.Amri ya 9. Usitamani mwanamke asie mke wako
Mkuu,nilishakuambia mwanamke usijilinganishe na mwanaume.Kama michepuko inawapunguzia hasira na kusababisha ndoa idumu sasa kwanini mnawadharau wanawake wanaotembea na waume za watu?
Hivi, umeolewa?Hizo ni mbinu tu mnazotumia wanaume kutuaminisha wanawake kuwa hakuna mwanaume asiyechepuka ili hata tukitaka tuwaacha kwa hiyo sababu tuishie tu kughairi na kusema "wanaume wenyewe ndo wale wale tu wote wanachepuka tutaacha wangapi"
Na huwa mnafurahi kweli mkisikia tunaongea kauli kama hiyo na hiyo kauli ndo inawapa sifa za kuzidisha umalaya wenu na ni wanawake wajinga tu ndo wanaendelea kuisema hiyo kauli na ndo hao wanaolazimisha hadi kuwa na waume za watu ila wanawake wengi tumeshashituka siku hizi
Kwa sababu wanaume duniani mpo billion 3 kama sikosei hivyo haiwezekani wanaume wote muwe na tabia moja hakuna tabia ambayo ni common kwa binadamu wote duniani kila kitu kina kinyume chake ili maisha yabalance anyway maneno yangu siyo sheria kila mtu abaki na anachoamini
Ila hiyo ya kwamba "hakuna mwanaume asiyechepuka" mtaendelea kuwadanganya hao hao wanawake wajinga ila mimi binafsi hakuna mtu yeyote narudia hakuna mtu yeyote anayeweza kubadilisha mtazamo wangu ninaamini kuna wanaume wasiochepuka tena wapo kwenye kila nchi duniani haijalishi kama mimi nitampata mume asiyechepuka au anayechepuka ila ninachojua ni kwamba wasiochepuka wapo fullstop