Ujumbe kwa Waislamu wenzangu

Ujumbe kwa Waislamu wenzangu

Na bado propaganda zote izo lkn the fastest growing Religion in the World is ISLAMIC
hao wazungu walokuleteeni huo ukristo wanasilimu kwa kasi kubwa tu
Sasa nyie Sijui mnasubiri nini

Hilo neno "propaganda" ndio msamiati mnaofundishwa misikitini, leo hii mnamuabudu Putin na kila ovu analofanya mnasema ni propaganda dhidi yake.

Kwa takwimu zipi fastest growing, labda kichaa ndio aje kujilipua mabomu huko.... waarabu walioleta hiyo dini na wenyewe wameanza kuichoka, wamelegeza baadhi ya uzombi, kule Saudi wanawake wameanza kupata uhuru. Mazombi ya afghnistan tu ndio bado yamekaza.
 
Hilo neno "propaganda" ndio msamiati mnaofundishwa misikitini, leo hii mnamuabudu Putin na kila ovu analofanya mnasema ni propaganda dhidi yake.

Kwa takwimu zipi fastest growing, labda kichaa ndio aje kujilipua mabomu huko.... waarabu walioleta hiyo dini na wenyewe wameanza kuichoka, wamelegeza baadhi ya uzombi, kule Saudi wanawake wameanza kupata uhuru. Mazombi ya afghnistan tu ndio bado yamekaza.
Aisee nimeamini umjinga vibaya sanaaa kwaio kwaheri tu
 
Matendo yenu ndio yatatuwezesha kuujua uislamu sio hivyo vitabu vya waarabu.
Mnakata watu vichwa kwa kuwalazimisha huo uislamu, kujilipua mabomu na kuuwa watu makanisani na vituko vingine vingi mpaka mnamzidi shetan kwa vituko.
Eti huo umwagaji damu wa kumpigania allah mhusika anapata thawabu!hizi ndio satanic versus maana hofu ndio lengo la shetani.
 
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh

TUFANYE NINI PINDI TUKIKUTA COMMENTS ZA KUMTUKANA ALLAH NA MTUME WAKE AU UISLAMU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII?

[emoji441] SHEIKH ABUL KHATWAAB ABDALLAH HUMEID حفظه الله

Naam naomba niwasilishe kile ambacho kidogo Allah alichonijaalia

Ujumbe huu mahsusi kwa watu wa mitandao.

kwenye Mitandao humu hutokea mijadala mingi inayohusu Kuuliza au kuelezea imani tofauti.

Ila sana mijadala hii huishia kwenye chuki kubwa baina ya watu ambao hata hawajuani.

Tahadhari ninayotoa kwa Ndugu zangu waislamu msipende kujadiliana na mtu ambae hataki kuelimishwa ambae amekuja kwa nia ya chuki kuhusu Uislamu wetu.

Allah anasema katika Qur'an yake

6:108.
Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. Namna hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao Mlezi, naye atawaambia waliyo kuwa wakiyatenda.

Kulingana na Aya hio ni bora zaidi ukaachana na mijadala ambayo itapelekea Allah kutukanwa


Otterhound adriz FaizaFoxy
Sawa
 
Kamwe huwezi kuingia kanisani ukute Padri au Mchungaji akiusema Uislam lakini nyie ni kawaida yenu kutusema sisi Wagalatia tuliotulia.
Hao hawajiamini na ndio maana hufanya vituko,utawasikia uislam maana yake amani,amani gani ya ncha ya upanga?Huo ni utamaduni wa kishenzi wa kiarabu na ndio maana muonekano tu unawatambua,kuna mmoja nilimuwekea taa-arab yenye kumsifu YESU KRISTO nikamuona anatabasamu akisema allah akbar kisa tu kasikia kiarabu!
 
Akhi uzi umeanzisha mwenyewe hakuna Aliye kutuma njoo upate daawa usijifanye kususa!
Hadi Allah anakataa hajamtuma muhammad! Yeye alikuwa anashuhudia wanavyo Peana utume[emoji38][emoji38][emoji12]
[emoji116][emoji116]
مَّا أَصَابَكَ مِنْ حَسَنَةٍ فَمِنَ اللَّهِ ۖ وَمَا أَصَابَكَ مِن سَيِّئَةٍ فَمِن نَّفْسِكَ ۚ وَأَرْسَلْنَاكَ لِلنَّاسِ رَسُولًا ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا

(AN-NISAAI - 79)
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.
 
Akhi uzi umeanzisha mwenyewe hakuna Aliye kutuma njoo upate daawa usijifanye kususa!
Hadi Allah anakataa hajamtuma muhammad! Yeye alikuwa anashuhudia wanavyo Peana utume[emoji38][emoji38][emoji12]
[emoji116][emoji116]
مَّا أَصَابَكَ مِنْ حَسَنَةٍ فَمِنَ اللَّهِ ۖ وَمَا أَصَابَكَ مِن سَيِّئَةٍ فَمِن نَّفْسِكَ ۚ وَأَرْسَلْنَاكَ لِلنَّاسِ رَسُولًا ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا

(AN-NISAAI - 79)
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.
Hacha kupotosha, Mwenyezi Mungu anasimama kama shahidi upande wa Muhammad (s.a.w) na umma wake. Kwamba yeye ni mtume wake.
 
Hacha kupotosha, Mwenyezi Mungu anasimama kama shahidi upande wa Muhammad (s.a.w) na umma wake. Kwamba yeye ni mtume wake.
Achana na mjinga uyo anadhani Qur'an inasomwa kma bible usomewe kifungu hupaswi kuuliza ww sharti ukubali tu

M nishamuona ni mjinga nampotezea tu
 
Ukim
Hilo neno "propaganda" ndio msamiati mnaofundishwa misikitini, leo hii mnamuabudu Putin na kila ovu analofanya mnasema ni propaganda dhidi yake.

Kwa takwimu zipi fastest growing, labda kichaa ndio aje kujilipua mabomu huko.... waarabu walioleta hiyo dini na wenyewe wameanza kuichoka, wamelegeza baadhi ya uzombi, kule Saudi wanawake wameanza kupata uhuru. Mazombi ya afghnistan tu ndio bado yamekaza.
Ukimaliza kuandika pumba, usisahau kwenda kuabudu sanamu la Brian Deacon lililovyalishwa nepi na picha yake.
 
Hacha kupotosha, Mwenyezi Mungu anasimama kama shahidi upande wa Muhammad (s.a.w) na umma wake. Kwamba yeye ni mtume wake.
Mimi sikatai muhammad ni Mtume!
Ninacho kataa Allah Hajawahi kumpa Utume muhammad.
Allah Hakuna Alicho sahau hadi amtume muhammad!
Akitokea mtu akaniwekea ushahidi Allah Anampa Utume muhammad nita-retard na kuwa mchawi!
Ona Musa Anavyo Pewa Utume na Allah!
[emoji116][emoji116]
إِذْ رَأَىٰ نَارًا فَقَالَ لِأَهْلِهِ امْكُثُوا إِنِّي آنَسْتُ نَارًا لَّعَلِّي آتِيكُم مِّنْهَا بِقَبَسٍ أَوْ أَجِدُ عَلَى النَّارِ هُدًى

(T'AHA - 10)
Alipo uona moto, akawaambia watu wake: Ngojeni! Mimi nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga kutoka huo moto, au nikapata uongofu kwenye moto.

فَلَمَّا أَتَاهَا نُودِيَ يَا مُوسَىٰ

(T'AHA - 11)
Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!

إِنِّي أَنَا رَبُّكَ فَاخْلَعْ نَعْلَيْكَ ۖ إِنَّكَ بِالْوَادِ الْمُقَدَّسِ طُوًى

(T'AHA - 12)
Hakika Mimi ndiye Mola wako Mlezi! Basi vua viatu vyako. Kwani upo katika bonde takatifu la T'uwa.

وَأَنَا اخْتَرْتُكَ فَاسْتَمِعْ لِمَا يُوحَىٰ

(T'AHA - 13)
Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.
 
Achana na mjinga uyo anadhani Qur'an inasomwa kma bible usomewe kifungu hupaswi kuuliza ww sharti ukubali tu

M nishamuona ni mjinga nampotezea tu
Kama ni kuuliza basi maswali ni mengi sana katika Quran, kwa mfano tu Mtu asiyejua kusoma wala kuandikia adondoshewe kitabu puu...!

Mtoto mdogo wa miaka 9 aolewe na Mtume wa mungu.

Ukatazwe kutumia kilevi duniani lakini ukakute mifereji ya mvinyo huko akhera na wanawake wa kuwagonga

Kwahiyo Mbingu yenu ni ya kwenda kufanya anasa [emoji23][emoji23]
 
Ukim

Ukimaliza kuandika pumba, usisahau kwenda kuabudu sanamu la Brian Deacon lililovyalishwa nepi na picha yake.

Wewe si mwarabu alishakufundisha namna ya kubinuka na kunyanyua makalio juu.
 
Wewe si mwarabu alishakufundisha namna ya kubinuka na kunyanyua makalio juu.
Ukishamaliza nenda kalifuate sanamu la Brian Deacon. Kuvalishwa kwake nepi kwenye movie, imefanya msamehewe dhambi.
 
Achana na mjinga uyo anadhani Qur'an inasomwa kma bible usomewe kifungu hupaswi kuuliza ww sharti ukubali tu

M nishamuona ni mjinga nampotezea tu
Kama unaniona mjinga kambishie qulaan iliyo sema mimi ni Msomi na Mcha Mungu!
[emoji1484][emoji1484]
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao wacha Mungu na wasomi, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.

Tatizo ilimu huna hadi unashabikia deen ya warabu
[emoji1484][emoji1484]
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

Usiifanyie ugumu qulaani wakati yenyewe inasema ni nyepesi!
Hii hukumbuki!
[emoji116][emoji116]
وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ

[ AL-QAMAR - 17 ]
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kufahamika. Lakini yupo anaye kumbuka?
 
Kama ni kuuliza basi maswali ni mengi sana katoka Quran, kwa mfano tu Mtu asiyejua kusoma wala kuandikia adondoshewe kitabu puu...!

Mtoto mdogo wa miaka 9 aolewe na Mtume wa mungu.

Ukatazwe kutumia kilevi duniani lakini ukakute mifereji ya mvinyo huko akhera na wanawake wa kuwagonga

Kwahiyo Mbingu yenu ni ya kwenda kufanya anasa [emoji23][emoji23]
Ndo mshangae apo sasa kwanini Dunia yoote inamkubali huyo unomponda
Hlf mbona biblia inasema mitume walizini dah yni mpk mumefika stage ya kuwazulia mitume wa Mungu uchafu wa zinaa

M siongei sana naongea na facts ishi nayo iyo uyo unomponda lkn the first
20220608_191655.jpg
 
Wewe si mwarabu alishakufundisha namna ya kubinuka na kunyanyua makalio juu.
Kijana hatutaki matusi hpa mna tukianza kuongea hpa kuhusu ayo mambo apo Mombasa ndo kumechafuka kwaio tulia hatutaki matusi hpa

Jibu hoja kwa hoja ukishindwa nyamaza tu
 
Kama unaniona mjinga kambishie qulaan iliyo sema mimi ni Msomi na Mcha Mungu!
[emoji1484][emoji1484]
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao wacha Mungu na wasomi, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.

Tatizo ilimu huna hadi unashabikia deen ya warabu
[emoji1484][emoji1484]
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

Usiifanyie ugumu qulaani wakati yenyewe inasema ni nyepesi!
Hii hukumbuki!
[emoji116][emoji116]
وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ

[ AL-QAMAR - 17 ]
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kufahamika. Lakini yupo anaye kumbuka?
hlf m ndo mna ata nimekupotezea mbona wapenda kupotosha ww Anza na aya za juu basi kma ww ni msema kweli

78.Walilaaniwa walio kufuru miongoni mwa Wana wa Israili kwa ulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryamu. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakawa wanapindukia mipaka.

79. Walikuwa hawakatazani maovu waliyo kuwa wakiyafanya. Hakika ni maovu yalioje mambo waliyo kuwa wakiyafanya!

Anza kuweka tafsiri hizo hpo hlf tuone nani msema kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom