Ujumbe kwa rafiki yangu

Ujumbe kwa rafiki yangu

kuna shogangu hapa hadi chupi za mume anafua housegirl
hata kuanua tu zikikauka hatoi kwenye kamba zitakaa hapo wee zinadondoka mapaka zinachoka
ndoa yake nae ipo hoi
me hata sinaga cha kumshauri maana ni mvivu balaa
 
kuna shogangu hapa hadi chupi za mume anafua housegirl
hata kuanua tu zikikauka hatoi kwenye kamba zitakaa hapo wee zinadondoka mapaka zinachoka
ndoa yake nae ipo hoi
me hata sinaga cha kumshauri maana ni mvivu balaa
yani ni shida vichupi tuwili unashindwa mweee
 
Hapo kwenye makucha wamalize wamezidi kweli kwanza papuchi zao zinanuka hawaoshi vizuri kisa makucha yao
 
Back
Top Bottom