The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,428
Mabwana,
Najua mna furaha adui yenu aliyefichua mambo yenu amenaswa. Japo hakuna jipya kwa sababu tunaujua uchafu wenu, nawaomba chonde chonde.
Jitokezeni lau mkanusha hata kinafiki vinginevyo mjue. Your cover has been blown out. Kwa wanaume kweli, hili si jambo la kuacha upepo utulie muendelee kula pepo duniani wakati wahanga wenu wakiishi motoni hapa duniani.
Jisuteni na nafsi zenu ziwasute na kuwauma japo mtoe tamko la pamoja au mmoja mmoja. Kusema ukweli, mmeumbuka haswa.
Napiga kelele kimya kimya.
Najua mna furaha adui yenu aliyefichua mambo yenu amenaswa. Japo hakuna jipya kwa sababu tunaujua uchafu wenu, nawaomba chonde chonde.
Jitokezeni lau mkanusha hata kinafiki vinginevyo mjue. Your cover has been blown out. Kwa wanaume kweli, hili si jambo la kuacha upepo utulie muendelee kula pepo duniani wakati wahanga wenu wakiishi motoni hapa duniani.
Jisuteni na nafsi zenu ziwasute na kuwauma japo mtoe tamko la pamoja au mmoja mmoja. Kusema ukweli, mmeumbuka haswa.
Napiga kelele kimya kimya.