Kha! Unafananisha Polisi na Mamba?! Polisi ni binadamu, anajua jema na baya! Acha wehu!Hivi mtoto mtukutu akihamasisha watoto wa mtaani waende kuogolea kwenye mto wenye mamba na kisha mtoto mmoja akaliwa na mamba, mwenye kosa ni mamba au ni mtoto mtukutu aliyewapeleka wenzake kwenye mto wenye mamba?
Huyo sio wa kuchukuliwa smg atapata kiki,huyo mtashangaa yupo mhimbili siku ya tatu haku dunia,kupunguza wanasiasa wapumbavuMchukulieni smg kama kawaida yenu
Kaa kimya kama unaogopa, wacha wazungumze wanaosikia maumivu coz ww ni mnufaika na ukatili wa awamu ya5Mvimbishieni bichwa ajione jasiri yakija kumkuta ni familia yake itakayoumia,nyie mtaomboleza na gwanda siku mbili mtasepa, ujinga ni kuropoka upuuz ktk tweet ya mkuu wa nchi ukiwa unajulikana bora huku twabwabwaja tani yetu
Bahati nzuri risasi za police wetu huwa hazina macho so tuombe uzima tu.Sawa police walitumia nguvu...lakini ijulikane kwamba mikusanyiko kama hii huzaa vikundi ambavyo hutumia nafasi hizi kufanya uhalifu ikiwa ni pamoja na uporaji Wa Mali za RAIA wema....dawa ya magugu ni kuchoma moto ingawa Luna majani mengine yataungua.,.police inaweza kuwa walifanya makosa lakini kwa asilimia ngapi?.....vyombo vya usalama haya mambo tusiyachekee..tupo 50m sasa wawili watatu wasituharibie....tunajua yaliyotokea yanaendelea kuchunguzwa....tuachane na matokeo....ilianzaje?
Naona kina Bashite na Le mutuz mnaanzisha IDs mpya ili muchangie pumbaWewe nawe shobo kambiwa mtatiro we vipi ?