......kitaalamu ukifanya political instruments zikakosa nguvu ...unazalisha insurgency , hiyo sio principle yangu bali ni principle za peace and strategics studies.....
Kwa sasa wanachama wa vyama wote wamekata tamaa wakiwamo sehemu kubwa tu ya wanachama wa ccm .....ina maana tuko kwenye hali ambayo kichaa yeyote akija na solution nje ya mfumo wa kisiasa atapata kuungwa mkono ...
Na kumbuka mass action sio lazima ihusishe watu wote milioni 58 kwenye nchi bali hata watu 1,000 tu wakianza wanaweza kutuyumbisha , naomba ieleweke kuwa hapa siongei siasa bali naongea hali halisi , Huyu Rais atatuzalishia uasi muda sio mrefu na hatutaki kujeuka loughing stock kwenye ukanda huu.
Najua kuna watu wa Intelligence humu , wafanye observation ya mijadala mitaani ,mitandaoni au mtu mmoja mmoja ....watu wamekosa imani na viongozi wa kisiaasa which is very dangerous ...
Maongezi yanayoongelewa kwenye vikundi vidogo vidogo mitaani hayana ishara nzuri ,nafikiri naeleweka .
Hata mwaka 1983/84 kwa waliokuwa tayari vijana wanakumbuka kulikuwa na fununu fununu hivi zinazagaaa...tofauti tu ni kuwa Mwalimu pamoja na ugumu wa maisha alikuwa anapendwa na kuaminiwa na wananchi ,wanajeshi na wengine sasa unapokuta hadi walio kwenye system wananungunika you have to be very alert !!!