Ujumbe aliotumiwa Julius Mtatiro

Ujumbe aliotumiwa Julius Mtatiro

Sikujua kama damu ya aquilina ilimwagwa na mbowe and co. Kama ni hivyo kweli it's no wonder James Hadley Chase aliwahi kuandika the guilty are always afraid. Kwa hakika hiyo silaha ya mbowe ni unique. Risasi yake ikipigwa huruka juu kisha ikashuka na kugeuka kulielekea basi linalopita. Hakika wakamatwe kwa kukatisha uhai wa aquilina
 
Unajua watanzania wengi wanataman kuingia katika vita na hicho ndicho wancho kitafuta

Hawajui athar za vita,hawajui maisha ya KATIKA vita yakoje

Hv watanzania wenzangu mtakimbilia wapi nchi ikiingia katika machafuko kote mmezungukwa na nchi ambazo hazina uslama100% jitafakarni upya.

Hao mnao Leo akina mbowe,mtatiro na wengne wote hao kuingia kwao ulaya ni kugusa tu hao ni wanasiasa popote wanaingia kikiharibika wao na familia zao ulaya na mahela yao katika akaunt za nje je mim na wewe tuanenda wapi?

Jifikirien upya maamuzi yenu upya watanzania wenzangu.
 
Mtatiro katukana, tuambie katukanaje moja, mbili umesema Marekani kumetokea matukio ya mauaji zaidi 35 na moja kati ya hayo ni hili lililotokea hivi karibu ambalo limefanywa na mwanafunzi zidi ya wanafunzi 17, ktk hili uoni kuwa wewe ndiye kiongozi wa Mamweu?, mana umeshindwa kabisa kutofautisha mauaji yanayotokea Marekani na hapa tz.
 
Unajua watanzania wengi wanataman kuingia katika vita na hicho ndicho wancho kitafuta

Hawajui athar za vita,hawajui maisha ya KATIKA vita yakoje

Hv watanzania wenzangu mtakimbilia wapi nchi ikiingia katika machafuko kote mmezungukwa na nchi ambazo hazina uslama100% jitafakarni upya.

Hao mnao Leo akina mbowe,mtatiro na wengne wote hao kuingia kwao ulaya ni kugusa tu hao ni wanasiasa popote wanaingia kikiharibika wao na familia zao ulaya na mahela yao katika akaunt za nje je mim na wewe tuanenda wapi?

Jifikirien upya maamuzi yenu upya watanzania wenzangu.

Na Sisi tunaouliwa ambao hata siasa hatupendi kushughulika nayo tuwaachie mutuuwe na kutufunga magerezani Kwa kutubambikia kesi nyengine za kigaidi??
 
Mkuu umesomeka ,najua utatukanwa sana lakini ulichosema ndio ukweli,na hawapendi kuusikia,ila iko haja ya ku deal na hawa viumbe personal,Wakiachwa kwakisingizio cha demokrasia madhara yao ni makubwa
Kuna madhara zaidi ya kuuwa watu wasio na hatia kwa kulinda maslahi binafsi ya wateule wachache?!Wewe na huyo mweka bandiko hamwakilishi maoni "wananchi" hivyo confine maelezo yako kwenye upeo wako wa kufikiri na kwa mtizamo wako peke yako.
 
Nimefurahishwa sana na ulichokiandika mkuu Kazi Mkuu . Mimi nimekuwa nikisema humu JF kuwa aliyesababisha mauaji ya Aquilina ni "Mbowe na wahuni" wenzake. Huyu Mbowe hana lengo zuri na hii nchi kabisa, CHADEMA ndiyo chama ambacho kimesababisha umwagaji damu kwa kiwango kikubwa sana katika historia ya vyama vingi hapa Tanzania bara. Mimi naona imefika mahali hichi chama cha "wahuni"(CHADEMA) kifutiliwe mbali kabisa na msajili wa vyama.
Huu ni upuuzi uliopitiliza lakini ni mawazo yako sio mawazo ya watu milioni 6 na ushee wanaokiunga mkono chama hicho.Ni wishful thinking kudhani kwamba ndoto ya utopia ya kuigeuza jamii ya watanzania kuwa homogeneous mono thinkers itafanikiwa.Pole sana.
 
MSITUTUKANE, MSITUDHARAU, MSITUBEZE!

Wapo watu wanatuita waoga! Wanasema tunazungumza sana mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuliko kuchukua hatua za kivitendo.

Jibu langu binafsi kwao ni kuwa; kujitoa kwetu peke yake na kuwaeleza watawala madhambi yao, vinywa na mikono yao kujaa damu za raia, uhuni wao, udhalimu wao, ubabe wao, udikteta wao, uzandiki wao, chuki zao, tamaa zao za madaraka ya damu.... ni jambo kubwa mno.

Barani Afrika hasa Kusini mwa Jangwa la Sahara, mtawala huwa anajiona ni Mungu Mtu. Mtu anayemkosoa mtawala waziwazi huwa amekwishatia saini hati ya kifo chake. Tundulissu hajawahi kuchukua ACTION yoyote zaidi ya kuzungumza ukweli, mitandaoni, bungeni na kwenye vyombo vya habari, wamejaribu kumuua kwa silaha za kivita.

Hata sisi tunaowasema watawala bila woga, tukiwaonya, tukiwanasihi, tukiwakosoa na kuwaeleza madhambi yao, tunafuatwa kila tuendako na roho zetu zinatafutwa usiku na mchana. Pamoja na mazonge yote tuliyonayo, hatuja-give up, tuko imara sana, walio-give up mmewasikia wako CCM, wanalinda roho zao, maisha yao na familia zao.

Sisi wengine tumekataa kusaliti ukweli halisi, kwamba Rais wetu John Pombe Magufuli analipeleka taifa letu shimoni, na lazima abadilike, atubu, arejeshe utengamano wa taifa, umoja na mshikamano, ailinde katiba kwa vitendo, asishikilie uhuru wa bunge, asiikalie mahakama, asivifunge mdomo vyombo vya habari, asichukue uhuru wa maoni wa raia, asijaribu kuviua vyama vya upinzani na taasisi za harakati hapa nchini.

Haya tunayomweleza Magufuli, watangulizi wake (Mwinyi, Mkapa, Kikwete) hawawezi kumweleza, wazee wanaoheshimika kwenye taifa hili hawawezi kumweleza (kina Warioba, Butiku na wengine), Maprofesa na wasomi wakubwa hawawezi kusimama hadharani wakamweleza.

Walau kwa sasa, kwa sababu tunaweza kumweleza bila kujali maisha na uhai wetu, tuacheni tumweleze. Ni Nyerere tu ndiye angekuwa hai na leo angelisimama hadharani na kumkanya Magufuli. Ni Mzee Kingunge peke yake ndiye amesimama hadharani na kumkanya, wengine wote wanatetea pensheni zao, mishahara yao, matumbo yao na raha za familia zao.

Sisi mnaotubeza pia tuna familia, tunapenda pensheni, tunataka mishahara, tunataka raha - lakini tumeamua kuvipata vitu hivyo kwa njia halali binafsi nje ya mifungamano na kuitumikia dola dhalimu. Kwa hiyo walau mtutie moyo, walau mseme "wapo viongozi imara, msitubeze".

Kama tumeweza kulinda utu na heshima ya taifa letu mpaka sasa, tumetishiwa, tumefuatwa, tumezongwa, tumefilisiwa na kila ukatili tumefanyiwa, na bado tuna misimamo - kumbe basi, kama ikibidi "hatutakua na hofu tena na mambo mengine ya kupita, tutasimamia ukweli mpaka mwisho wa maisha yetu, kumbe basi tutakuwa tayari kufa vifo walivyovipanga watawala juu yetu, kumbe basi tutakuwa tayari kufia magerezani - lakini tutakufa huku tukiongoza mapambano ya kudai haki na uhuru kwenye nchi yetu."

If need be that we die fighting for justice and freedom in our country, many of us will be ready to die, no body should underestimate us, as the cause we are fighting for is innerly sponsored, it is a cause of protecting the dignity and well being of our people.

If need be that we will not be available should the JUSTICE and FREEDOM will showup, then we are ready for that to happen, we are ready that our blood irrigates the victory to our next generetion.

And whoever think that, fighting for justice, democracy and freedom in this country will be stopped by bullets, and bombs, and killings, and kidnapping and propaganda, that person is very wrong.

As long as we are not ready to betray our people; justice and democracy and freedom shall prevail. We understand that horrible things shall happen to us, we know that the worst are yet to come; smilingly and comfortably, we shall receive whatever bitterness and hurtings and destructions and consequences.

It is the law of the nature that, the payment of fighting for justice is always painful, and whoever is not ready to receive the pain won't sustain the struggle.

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J
 
Kalista mbona jina linafanana na LA Dada yangu?Halafu kusema mange kimambi wamempuuza thubutu kawashika pabaya sema hamna namna ya kumpata!
Itambidi huyu jamaa azikiri uchi mwaka mzima kupata followers 1.6 million alionao mange!
 
Mimi binafsi sina cha kuongeza umesema kila kitu na wasipokusikia wewe basi tena sijui kama watakuja muelewa mtu. Na hao wananchi watakao andamana kwa kutumwa na huyu kama unavyosema basi litakua kundi la wehu barabarani ambalo litabidi liondolewe kwa style ambayo wehu watailewa na kuikubali
 
We nae hujielewi aliyekwambia kwamba Tanzania hakuna sheria wala haki ya kuandamana ni nani!!!?
 
WW ni mwathirika kwann uwajibie? kwa uelewa wangu mwehu ni ww unayepindisha mambo huku ukijua utendayo siyo na mwehu mwingine ni ded wa kinondoni
 
Kuna madhara zaidi ya kuuwa watu wasio na hatia kwa kulinda maslahi binafsi ya wateule wachache?!Wewe na huyo mweka bandiko hamwakilishi maoni "wananchi" hivyo confine maelezo yako kwenye upeo wako wa kufikiri na kwa mtizamo wako peke yako.
Hata ulicholeta ni mawazo yako binafsi ,hayawakilishi wananchi,sanasana ni kutafuta huruma isiyostahiki
 
aquilin angekua ni ndugu yako ungemkosoa mtatiro? unajua namna watu waliyo react kihisia imepunguza hata majonzi kwa wafiwa? wamejihisi wapo pamoja na watanzania wenzao kutoka na tukio baya na la aibu kubwa kwa serikali yetu?
 
hivi kama sio mkurugenz kugoma kutoa barua watu wangeandamana?
hebu peleka utahira wako kwa ma basha zako kenge ww
 
Back
Top Bottom