Ujumbe aliotumiwa Julius Mtatiro

Ujumbe aliotumiwa Julius Mtatiro

Wewe ndiye mwehu kabisa, tena utakuwa na kiwango cha phd ya wehu,, Mtatiro anatoa maoni yake ambayo ni haki yake, wewe ni nani unayejipa kazi ya kutaka Mtatiro aandike upendavyo wewe???? Unazungumzia vyombo vya ulinzi!! Wewe ni msemaji wa jeshi gani hapa nchini???
Eti linaitwa li Kalisto.....fala sana hili, haya ni yale mavilaza yenye vyeti feki hayana cha kuongea zaidi ya kutapika.
 
Sawa police walitumia nguvu...lakini ijulikane kwamba mikusanyiko kama hii huzaa vikundi ambavyo hutumia nafasi hizi kufanya uhalifu ikiwa ni pamoja na uporaji Wa Mali za RAIA wema....dawa ya magugu ni kuchoma moto ingawa Luna majani mengine yataungua.,.police inaweza kuwa walifanya makosa lakini kwa asilimia ngapi?.....vyombo vya usalama haya mambo tusiyachekee..tupo 50m sasa wawili watatu wasituharibie....tunajua yaliyotokea yanaendelea kuchunguzwa....tuachane na matokeo....ilianzaje?
 
Je na yule aliyekataa kutoa barua kwa mawakala naye ni nani?
Yule aliyesema “gari nakupa mimi, mshahara na kupa mimi, ole wako umtangaze mpinzani akishinda” ni nani?

Mbona huwaandikii hawa kuwaonya?

Kweli wewe unatoka shithole countries
 
Mtu unajua huyu ni mwehu na bado unatumi mauda wako kumuandikia huyo mwehu waraka wote huu!! Nashindwa kutofatutisha kati ya watu hawa wawili.
 
Mkuu umesomeka ,najua utatukanwa sana lakini ulichosema ndio ukweli,na hawapendi kuusikia,ila iko haja ya ku deal na hawa viumbe personal,Wakiachwa kwakisingizio cha demokrasia madhara yao ni makubwa
 
Ni mpuuzi pekee anayeweza kuandika alichoandika huyu . Hasa kipengele cha binti yetu akwilina. Bila kupepesa macho mlaumiwa namba moja Mtulia, mbili mkurugenzi aliyegoma na viapo, wengine watafuatia
 
Kalisto Joseph ! Anasema mwehu hajibiwi. Lakini yeye kamjibu mwehu!
 
Thread nzur na bora ya mwaka!!
Dawa ya mamba anaye kula watu ni kumsaka na kumuua popote alipo. Hii ni kusema mwandishi anatuhimiza watanzania ttutoke usingizini, tuchukue nyundo zetu, mapanga, bunduki na mashoka tuwasake mamba wakubwa (Akina JPM) na wadogo akina policcm na akina bashyte tuwaue popote walipo kabla hawajamaliza watoto kiiijini kwetu
 
Mtatiro ana stress za kukosa platform kafu ana uenyekiti unaotambulika ndani ya ukumbi tu wanaofanyia kikao,lazima hasira ahamishie mtandaoni
 
Unajua watanzania tufike mahali tukatae upuuzi na uwehu wa akina Mtatiro na Mbowe. Hawa wanataka kwenda Ikulu kwa gharama za damu za Watanzania. This is unfair!!!

Hatujiulizi kwa nini Mbowe na wenzake baada ya kuhamasisha watu waanze kuandamana wao walikimbia na kujificha?
Nimefurahishwa sana na ulichokiandika mkuu Kazi Mkuu . Mimi nimekuwa nikisema humu JF kuwa aliyesababisha mauaji ya Aquilina ni "Mbowe na wahuni" wenzake. Huyu Mbowe hana lengo zuri na hii nchi kabisa, CHADEMA ndiyo chama ambacho kimesababisha umwagaji damu kwa kiwango kikubwa sana katika historia ya vyama vingi hapa Tanzania bara. Mimi naona imefika mahali hichi chama cha "wahuni"(CHADEMA) kifutiliwe mbali kabisa na msajili wa vyama.
 
Kalista mbona jina linafanana na LA Dada yangu?Halafu kusema mange kimambi wamempuuza thubutu kawashika pabaya sema hamna namna ya kumpata!
 
Back
Top Bottom