MUUZA NGADA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 340
- 497
NATAKA USER NAME YAKE HUYO MTATIRO KWENYE Facebook & Instagram
Wewe ndiye mwehu kabisa, tena utakuwa na kiwango cha phd ya wehu,, Mtatiro anatoa maoni yake ambayo ni haki yake, wewe ni nani unayejipa kazi ya kutaka Mtatiro aandike upendavyo wewe???? Unazungumzia vyombo vya ulinzi!! Wewe ni msemaji wa jeshi gani hapa nchini???
Nae ni mwehu tu achana naembona unatoka povu mapema hivyo
Sio Mtatiro pekee ana haki ya kutoa maoni, hata huyu aliyetoa nae ana haki hiyo. Tuvumiliane, katika nchi ya kidemokrasia kunahitajika uvumilivu wa kisiasa
Kama kaambiwa Mtatiro si angemtumia ujumbe huu moja kwa moja ukiweka hapa lazima tuseme acha kuwa kama LusindeWewe nawe shobo kambiwa mtatiro we vipi ?